Wanahitajika wasichana wawili tu, umri kuanzia miaka 18-25 wenye uzoefu na mambo ya kutembeza na kuuza bidhaa maeneo mbalimbali hapa Dar.
Malipo ni kwa kamisheni,yaani utakavyouza sana ndo utapata sana.
Kwa maelezo zaidi PM
Katika uchunguzi wangu nimegundua asilimia kubwa ya wanaume waliooa hupendelea kunywa mtindi wa maziwa ,na mara nyingi hua ni baada ya chakula cha jioni. Sasa naomba nifahamishwe kazi ya ule MTINDI kwasabu na mimi nitaingia huko ndoani mapema sana mwaka huu
Tunahitaji mtu mwenye sifa tajwa hapo juu kwajili ya kazi,
Awe muaminifu
Mchapakazi
Mwenye kufanya kazi bila kusimamiwa
Umri kuanzia miaka 18-24
Awe mkazi wa dar es salaam
Anaekidhi vigezo hvyo atume cv yake hapa
dmgaya1@gmail.com
Tunasambaza sabuni za maji kwa ajili ya kufanyia usafi kama:
~kuoshea vyombo
~kufulia
~kudekia
pia tunauza afro shampoo kwa wenye saloon za kike na kiume na kwa mtu mmojammoja pia,
weka oda yako uletewe hadi ulipo
zipo ktk vifungashio vya lita 1 na lita5 na bei zetu ni nafuu sana...
Wakuu habari zenu.naomba kuuliza, hivi ktk ofisi kama kuna mtu kaenda likizo halafu yale majukumu yake akapewa mtu mwinginewe ambaye nae ana majukumu yake,then hua kunakua na posho yyte ktokana na kufanya majukum ya mtu mwingine?
Ni brand ya bruhm from germany,
eled tv
fhd
nch 32 tu
ina king'amuz ndani
ina hdmi port
ina usb pot
2year warranty
fixed price 615,000/=
serious buyers contact me
0714918816
Kuna kipindi hapa ofisini nilikua naunganisha wireless network ya kampuni kwenye ka android kangu asa wakagundua kama natumia sijui walifanyeje manake sikuiz nikiunganisha inagoma inaandka disconected then scanning baada ya hapo hamna Kitu.tafadhali anaejua kvip naezafaudu hii intanet anipe maujanja
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.