kwa kweli kama kuwa prof kwa tanzania ndo hivi hatutafika,nimemsikiliza prof assey akisema tume ya rasimu ya katiba ilichukua maoni ya watu ambao umri wao ni chini ya miaaka 17 na hivyo mawazo yao siyo halali kwani bado ni watoto.mimi nafikiri tume ilipemwa standing orders iliyowaguide kukusanya...
Ni mara kadhaa nimejaribu kutafakari hoja anazotoa ndg Lema,anahoja zenye msingi na maslahi kwa taifa na watanzania kwa ujumla.Miaaka kadhaa nyuma nakumbuka kikwete aliitwa chaguo la mungu,kumbe haikuwa sahii hata kidogo na nina wasiwasi mkubwa kwamba hata mungu anaweza kumlaani aliyemwanzishia...
Hivi jamani naomba mnisaidie,watu wa iramba mashariki wanauliza mbona hawamskii na wala hawaoni mchango wa mbunge wao mama mwambu zaidi ya kumwona akisinzia bungeni kupitia televisions.
Wanasema kwakweli people are tired of here na wanasubiri 2015 wamtendee haki kijana wao mwenye uwezo mzuri na...
Ngugi wa thiongo once said "the strongest man is the one who stands in his own feet" and this is what is happening to chadema-i love you my only party.
:tinfoil3:
Ni ukweli usiopingika kwa wapenda maendeleo kwamba chadema ni chama pekee chenye kuwanyima usingizi magamba kwani magamba hawana uzoefu wa kupatiwa upinzani mkali kama inavofanya chadema.Massm wanafanya kila wanaloweza kuhakikisha kwamba wanaichafua chadema kupitia gaidi namba moja tz,lakini...
Ni kwaeli WANYIRAMBA ni watani wetu sisi wambulu ila Mwigulu Lameck Nchemba (mb) na Salome Daudi Mwambu (mb) [iramba magharibi na mashariki] hawana hadhi ya kuwa watani wetu kwani wananuka damu na si wanadamu wa kawaida kwani ni washirikina wa ajabu sana,nawasihi watani zangu wasirudie makosa...
kachukue chako lumumba,si ndo mnavofanya?mnatumia kodi zetu vibaya
once you write against opposition then you hava 10000 hapo lumumba
kwaherini magamba.
Mwema is nothing,what kind of intelligence is he talking about,madawa ya kulevya kila cku
wizi kila cku,wahamiaji haramu-ameshindwa but people offering civil "intelligence" shame upon you
hivi anastaafu lini huyu jamaa?
KWELI jf ni mtandao mzuri sana, leo nimegundua kwa mara ya kwanza kuwa ndugu yangu kanusu
ni mccm, pole sana ndugu yangu kanusu, lakini mbona hujaniambia? nitakuwa nakuogopa kama ukoma sasa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.