Nauza simu blackberry z10 kama kuna mtu anahitaji ipo katka hali nzuri sana bei 300,000 punguzo lipo kwa anayetaka.
Tuwasiliane kwa 0756386179 picha Whatsapp nitamtumia.napatikana mbezi beach makonde
Mkuu mi ninayo XLR 250 siitumiagi ni na muda sasa kama utahitaji tunaweza kuongea ila lazima itahitaji matengenezo kiasi mm nipo Dar ila kwa sasa nipo nje ya nchi mpaka mwezi ujao nitakuwa Tz kama utakuwa hujaipata tuwasiliane kwa no 0756386179 bei tutaelewana tu
pamoja na baadhi ya naeneo ni machafu lakin huwezi linganisha na hapo kwetu TZ india wapo juu hata pesa yao inathamani kuliko yetu pia hata barabara zao nyingi ni Flyover wametuzidi vitu vingi tu bwana mm nipo chennai kwa sasa ni pakawaida tu ila huwezi linganisha na hapo kwetu dar
Habari wana jamii naomba msaada kwa aliyesikiliza bajeti je? Roadlicence za magari zimefutwa? Samahani nipo nje ya nchi sikuweza kufuatilia msaada plz kwa anayefaham
habari wana jamii samahani naomba kuuliza kwa anayefahamu kuwa king'amizi gani ni kizuri kati ya ZUKU na DSTV nahitaji ninunue au kama kuna vingine ambavyo vi vizuri plz naombeni msaada wenu
Habari wana jamii nina hitaji kununua king'amuzi sasa naomba ushauri wenu ni king'amuzi gani ni kizuri kati ya ZUKU na DSTV plz kwa anayefahamu aniasidie
Habari wanajamii nina tatizo kwenye uume wangu kunakuwa na maumivu kwa mbali hasa karibia na tundu la kutolea mkojo je?inaweza kuwa tatizo gan kwa anayefahamu anisaidie plz tatizo limeaanza jana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.