Hivi kweli siasa zetu zimefika huko! mpaka tutoane roho kwa sababu ya siasa! Ama kweli siasa hizi zina hitaji moyo. Haki itendeke. ukiua kwa upanga nawe utakufa kwa upanga.
Ndugu wanaJF salamu
Kutokana na mchakato tulionao hivi sasa kuhusu mabadiliko ya katiba yetu, leo nimependa nitoe maoni yangu kuhusu baadhi ya mambo ambayo ningipenda yaingizwe kwenye katiba mpya tunayoitaka.
Fuatana nami na utoe na yako ili tuweze kuboresha katiba ijayo.
1. katika katiba...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.