Makabila ya asili kabisa Tanzania ni chache kwa mujibu wa historia, kauli kama za Ndumbaro na zingine zenye mrengo wa ukabila za kukemewa kwa nguvu zote, siyo njema kabisa kwa ustawi wa Taifa Letu pendwa.
Umaarufu wa eneo hilo ni kuwa Hifadhi pekee yenye matumizi mseto (jamii na wanyamapori). Sifa hii imeifanya kuwa moja ya majabu ya Dunia. Hali hii imechagizwa na tamaduni, Mila na desturi ya kabila la kimasai ambao enzi na enzi wamekuwa rafiki na wanyamapori, sote ni mashahidi.
Hoja ya...
Idadi ya wamasai na mifugo ni hoja kwenu. Mbona hamsemi loji na hoteli za kifahari walizojaza wahifadhi ukingo wa crater na hata kwenye mapito ya wanyamapori kwa maslahi yao? Hamsemi matumizi makubwa ya maji mpaka baadhi ya Misitu imekauka kukosa maji kisa mahoteli, hamsemi kuhusu idadi kubwa ya...
Leta matokeo ya tafiti hapa kuonyesha Ardhi ya Ngorongoro umezidiwa na idadi ya watu na mifugo (carrying capacity), tuache kuwa bias watanzania kama tunataka kutatua matatizo yetu. Mbona husemi idadi ya wanyamapori kuongezeka? Uongozi wa Hifadhi walipaswa kuona mbali kuhusu ongezoko la mifugo...
Umaarifu wa Hifadhi hiyo ni kwa sababu ya mfumo wa maisha Jumuishi (Wanyamapori na Jamii). Ukiondoa jamii pale, maana yake umeiondolea sifa Hifadhi yake ya multiple Land na umaarufu. Haitakuwa tofauti na Hifadhi ya Manyara na Tarangire. Haitakuwa tena moja ya maajabu ya Dunia.
Niliwahi kuona...
Umaarifu wa Hifadhi hiyo ni kwa sababu ya mfumo wa maisha Jumuishi (Wanyamapori na Jamii). Ukiondoa jamii pale, maana yake umeiondolea sifa Hifadhi yake ya multiple Land na umaarufu. Haitakuwa tofauti na Hifadhi ya Manyara na Tarangire. Haitakuwa tena moja ya maajabu ya Dunia.
Niliwahi kuona...
Umaarifu wa Hifadhi hiyo ni kwa sababu ya mfumo wa maisha Jumuishi (Wanyamapori na Jamii). Ukiondoa jamii pale, maana yake umeiondolea sifa Hifadhi yake ya multiple Land na umaarufu. Haitakuwa tofauti na Hifadhi ya Manyara na Tarangire. Haitakuwa tena moja ya maajabu ya Dunia.
Niliwahi kuona...
Kwa Katiba na tume ya uchaguzi wa namna hii hata siku moja tusitegemee uchaguzi huru na wa haki. Na tatizo vyama vyetu vya upinzani hawana hata mbinu moja dhabiti ya kukabiliana na madhila haya. Tutabaki kulialia sana na ccm itaendelea kuongoza kwa mabavu.
Hongera sana, ufafanuzi mzuri na ukweli ndiyo huo 100%, unafahamu zaidi haya uliyoyaandika, shida tu watanzania km vile tumelogwa, upole, njaa na uoga uliopitiliza. Unajua tatizo liko wapi unabaki kulalamika bila kuchukua hatua. Anyway pengine kuna siku malaika atawashukia, mtajitambua.
Anyway...
Hoja ya msingi sana, shida vyama vyetu vyingi vya upinzani waganga njaa, nilifikiri wangegomea uchaguzi hadi katiba mpya na tume huru ya uchaguzi zipatikane. Tunapotezewa muda na rasilimali.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.