hongera kamanda nassari,kwa wapambanaji kama wewe hyo its just an obstacle,kuna mwanafalsafa mmoja iliwahi kusema hivi,if your travelling in a certain course without meeting an abstacle,you are in a wrong way.
wana jf mi naunga mkono hoja ya kwa serikali ya tanganyika kwani kwa muda mrefu wazanzibar wamekuwa wkilalamikia mfumo wa muungano tulinao sasa,hivyo ni bora tuwe na serikali tatu,ya muungano,zanzibar na ya tanganyika,ya muungano ita deal na mambo yote ya muungano kama yatakavyokubaliwa,ya znz...
Hi!wana jf,mimi ndio kwanza naingia jamvini japo kuwa huwa napitia jf karibu kila siku,lakini sasa naingia rasmi.I like jf coz kuna vitu huwa vinjadiliwa jamvin ndio maana leo nami nikaamua kujitu jamvin.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.