Search results

  1. S

    Blood groups: Differences and conspiracy theories, ukweli ni upi?

    Mama yangu ni O-negative and she had us just fine. Sana sana alikuwa na check up nyingi kuliko wamama wengine lakini mbali na hapo, alikuwa na uzazi wa kawaida kabisa. Wala usiwe na wasiwasi.
  2. S

    Msaada: Nataka kumpeleka mgonjwa wangu India

    Uamuzi wa kwenda India umekuja baada ya mgonjwa kuhangaika kutoka hospitali moja hadi nyingine bila mafanikio. Pia ''specialists'' ambao amekuwa referred kwao mpaka sasa hawajatoa concrete diagnosis ya tatizo jambo ambalo linatia wasiwasi to say the least. Kuhusu vipimo, ni kama nilivyoelezea...
  3. S

    Msaada: Nataka kumpeleka mgonjwa wangu India

    Quick update: Kwa sasa mgonjwa anaendelea vizuri na hasikii maumivu yoyote. Yuko kwenye dozi ya vidonge vitakavyomsaidia kurudisha damu mwilini ili hata ikibidi kufanyiwa surgery wakati wowote, awe eligible. Nitawasiliana na sokwe kupata maelezo zaidi na pia naendelea kuwasiliana na watu wa...
  4. S

    Msaada: Nataka kumpeleka mgonjwa wangu India

    Nimeongea na mgonjwa na ameniambia kuwa amekuwa tested for h-pylori on three different occasions and each time given a heligo kit. Nimemwambia itabidi tuanze kufuatilia zaidi kujua kama tatizo alilonalo sasa hivi ni recurrence ya h-pylori na ataongea na daktari wake kujua zaidi. In the mean...
  5. S

    Msaada: Nataka kumpeleka mgonjwa wangu India

    Asante sana kwa maelezo. Sidhani kama aliwahi kuchekiwa for bacterial infection (which now that you have mentioned, seems like a no brainer). Ngoja nimuulize daktari wake kuhusu hili halafu nitakutafuta.
  6. S

    Msaada: Nataka kumpeleka mgonjwa wangu India

    Nitashukuru sana. Nilitingwa na kazi jana nikashindwa kabisa kuwapigia hawa Apollo Hyderabad, nimedhmiria kufanya hivyo leo.
  7. S

    Msaada: Nataka kumpeleka mgonjwa wangu India

    Kwa kweli hata mgonjwa wangu, spicy foods have always been a big no no. Kidonda kinachomsumbua zaidi kiko right below the cardiac sphincter muscle na hiki ndio kinachobleed from time to time. Hii pia inamsababishia acid reflux na kumpa shida kila anapokula. Kati ya vipimo vyote, kwa kweli...
  8. S

    Msaada: Nataka kumpeleka mgonjwa wangu India

    Nashukuru sana kwa maelezo yako ya kina. Katika moja ya tovuti za Apollo, wameonyesha kuwa pia wanatoa e-consultations kwa wagonjwa walioko mbali, nadhani hii itakuwa mwanzo mzuri katika maandalizi ya awali kabla ya safari ili mgonjwa atakapofika, hatasumbuliwa tena on background info...
  9. S

    Msaada: Nataka kumpeleka mgonjwa wangu India

    Asante mkuu ila kuna kipindi alishauriwa amwone daktari mmoja (I'm spacing out on her name) ambaye aliambiwa anatibu kwa dawa za kienyeji na kwa kweli sikufurahishwa na outcome. Mgonjwa alitakiwa anywe gallons za hiyo dawa na badala ya kupata nafuu, kila anapomaliza vikombe viwili vitatu...
  10. S

    Msaada: Nataka kumpeleka mgonjwa wangu India

    Napata tatizo kidogo kutokana na tovuti yao kutotoa maelezo zaidi kuhusu in patient facilities zao. Nadhani kwa mgonjwa ambaye kuna uwezekano mkubwa akafanyiwa operation, information kuhusu facilities ni muhimu sana. Ninaendelea kuperuzi lakini, I figured you would appreciate some feedback.
  11. S

    Msaada: Nataka kumpeleka mgonjwa wangu India

    Nitaiangalia na hii pia, kwa kupitia tu tovuti yao nimeona kuwa wanaspecialize kwenye gastroenterology which is in itself encouraging. Asante sana.
  12. S

    Msaada: Nataka kumpeleka mgonjwa wangu India

    Nashukuru kwa ushauri. Ngoja nijaribu kufuatilia.
  13. S

    Msaada: Nataka kumpeleka mgonjwa wangu India

    Kwenye website yao inaonyesha kuwa hii iko New Delhi. This is what comes up http://www.apollohospdelhi.com/web/
  14. S

    Msaada: Nataka kumpeleka mgonjwa wangu India

    Nimegundua wana matawi mbalimbali ya Apollo na so far ni hili la Indraprastha ndio linaspecialize kwenye gastroenterology (there could be others, not sure yet). Nashukuru sana kwa suggestion, kidogo nimepata mahali pa kuanzia. Naendelea kuomba suggestions zenu.
  15. S

    Msaada: Nataka kumpeleka mgonjwa wangu India

    Nashukuru kwa ushauri, ngoja niitafute kwenye tovuti kujua zaidi.
  16. S

    Msaada: Nataka kumpeleka mgonjwa wangu India

    Background: Nina mgonjwa ambaye amekuwa akisumbuliwa na vidonda vya tumbo kwa muda mrefu. Katika kipindi chote hicho, aliweza kumanage vidonda hivyo kwa lishe bora na mazoezi ya kujenga mwili. Recently, vidonda vimeibuka na vinamsumbua sana. Alifanyiwa barium x-rays na baada ya kulocate problem...
  17. S

    Msitari mweusi chini ya kitovu

    Afadhali something slightly believable. Maana kuna mtu hapo juu kasema tumbo likitanuka tu, mstari unakuja. Ina maana hata tumbo likiwa a little distended baada ya mlo kuna uwezekano wa hii kitu? Imebidi niache kazi ghafla nipige walau a couple crunches. Na kwa logic hiyohiyo inamaana wanaume...
Back
Top Bottom