Mkuu, kwani Mbowe yuko Bungeni? Sheria imepitishwa bungeni unamwambiaje raia wa kawaida akutetete? Sauti za watanzania wangapi wamelalama kuhusu hizi tozo, kwani serikali haizisikii mpaka Mbowe Aongee?
Mkuu na wewe ni walewale kama isssue ni kurudi basi wangelipa hiyo kumi kwa siku na baada ya mradi wawape hiyo arobaini kama mafao. Yaani ni mtu gani mjinga apate kazi yenye maslahi aichezee?
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu hii pombe inakua imported na kampuni inaitwa Bevco Distribution na inasambazwa na hao Bevco wenyewe kwa kushirikiana na MMI.
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyo professor ni mpuuzi kama wapuuzi wengine, sorry sijawahi tukana humu lakini anakera na hana hoja. Kwani hao wagombea walioenguliwa nani aliwafundisha kujaz form 2014? Mbona hawakuenguliwa kama sasa? Wengine walikia ni wenyeviti na wajumbe waliomaliza muda wao yeye ndiye aliwajazia form 2014?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.