nadhani huo ni mtazamo tu,wapo wanawake ambao wana wawezesha wanaume zao.na tofauti na hapo imezoeleka kuwa mwanaume ndio kiongozi hivyo ni wajibu wake kuhudumia mwanamke.
Habari za jioni wana jamii?poleni na majukumu...mimi ni mwanamke niliyeolewa nafurahia sana ndoa yangu,na pia na enjoy sana kufanya mapenzi na mume wangu.ila napenda kujua kama mwanamke ana pees?(anakojoa)na kama ndio nini ishara ya kwamba sasa ana pees?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.