ACHA HADITHI MKUU..UNASEMA UMEFANYA RESEARCH HAYA ATTACH HIZO CORRESPONDENCE ZAKO WEWE NA WIZARA NA VODA AND ZANTEL... nadhani ujumbe umefika kwa wahusika wengine tuona vitu hivi...
Mkuu naona unajaribu saana ku divert issue..hamna mtu anayelalamika majibu kutopatikana kwa wananchi..issue ni kwamba iweje wizara iwatumie voda peke yake?? na pili kwanini voda icharge watu wakati wizara ina budget maalum ya kutangazia wanafunzi kama wanavyofanya kwenye magazeti? Unachoshindwa...
thats true but lets not divert from the main complaint of the thread.. je unakubaliana na wizara ya elimu kutumia kampuni ya simu binafsi na kuwapa exclusive tender ya kutangaza sensitive issue kwa jamii kama majibu ya mitihani? na wasio na line voda je?
Mkuu website ya necta was down jana na leo earlier on ! na hii issue ya voda tangazo ilikuwa linapita hapo hapo kwenye website ya necta ...hamna hadithi hapa.
Hii ni kazi ya TCRA! Hapa clearly anti-competitive practices are being practiced out in the open!! Tusiangalie dowans kila siku kuna vitu viingi sana vya kipuuzi vinaendelea kwenye maamuzi yanayo fanywa na watu walio serikalini!
Kama watanzania wengi wenye ndugu ambao wamemaliza form 4. Kitu kimoja kimenishangaza sana kwanini taasisi ya serikali inaweka tangazo kwamba kama mwanafunzi anataka kuona majibu kwa njia ya simu ni lazma awe na line ya VODACOM ilI apate majibu hayo! Serikali kuweni makini hio kitu haina manufaa...
Bila kusahau akamteua shahidi wa serikali na mkuu wa kitengo cha EPA kuwa Mkuu wa TIB! Akifikiri watanzania hawajui 1 + 1 = 2. Ndo huyu ataleta agricultural revolution? tuache utani!!
Nachojua mimi ni kwamba CEO's wa banks and parastatals na Wakurugenzi wenigne Serikalini na Private Sector wananunua 400-1000 hectares of land, left right and centre on a daily basis..na bado raisi ana offer hizo 2,000,000 for foreigners waje kuziendeleza...nchi inauzwa na matajiri wataendelea...
Why now? the question is why not now? Ushaidi wote ushapotea..ukiona wamekaa kimya hujue majina na mafile yanapotea tuu pale Brela. Ndo Tanzania yetu hio..
Inashangaza na KUTISHA!! kwamba hadi sasa hatujui viongozi wetu wanavuta sh ngapi kwa mwezi! Na tushangaa kwanini nchi masikini...Watanzania tumechelewa kuamka lakini naona sasa taratibu tumeamua kufungua macho! Wenzetu Kenya hapo wanaongelea Constitutional Reform ETC sisi tunaangaika na...
Governor mzima...anaongea kama mtu asiye na facts n figures his reasoning sounds like politics to me!..yani explaination yake ata mimi ningeweza toa...If the central bank thinks certain transfers are dirty any bank kwa mfano za UK wanaziflag ata Ku freeze aache kudanganya watu ( personally nili...
Mkuu unaongea ilimradi au? Hujui kama watu wanahaki duniani hasa kwenye maswala ya kuhojiwa na polisi?...yani ashikiliwe hadi uchunguzi uishe? Kwa kosa gani?...nashangaa kwanini jeshi la polisi halifunguliwi mashtaka nalo! Arguements zingine zinatia hasira tuu..
Mkuu upo sahihi kabisaa watanzania professionals (doctors, lawyers etc) Uk hawana time na CCM..Hapo ni watu ambao wanaishi kwa kuunga na ujanja wanataka dili tuu ndo wamejazana ili wajuane na viongozi..kuwasaidia kufungua kampuni feki bank accounts etc etc..saizi mwendo ni dili kwenda mbele
Tatizo sio serikali haijui ifanye nini..ukiwapa siemens tender wataishia kufanya kazi coz ni kampuni inayojali reputation yake pia na huwa wanatoa hongo ndogo sana kwa viongozi na chama au no hongo kabisaaaa...kwaiyo inakuwa poa kuunda kampuni feki 100% owned by pesa za walipa kodi na kuilipa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.