Kama hayo ni kweli basi huyo jamaa no kiazi kweli kweli.
Hii nchi ina vyama vingi na vyama vina haki ya kufanya shughuli zao za kisiasa.
Hii ni dalili ya uwoga na kutokujiamini kwa hawa viongozi wa serikali hii.
Huyo Majaliwa hana mamlaka ya kuzuia kazi za vyama vya siasa. Hana mamlaka hayo...
Mi nilishasema huyu mtumbua majibu na hii style yake lazima mwishoni ajitumbue na yeye.
Kuna sehemu kadhaa alizopita alivurunda kwa maamuzi yake mwenyewe sasa sijui pakifikiwa
huko atajitumbua au skip option itatumika.
Nina uhakika 100% na nilichokiongea
Tena aliukosa Uspika kamili kidogo sana.
Otherwise ndiyo angekuwa spika leo yule dada.
Nchi hii akiendelea kufukua bila shaka hata yeye mtumbua majipu ataishia kujitumbua, vinginevyo nauona mwisho wa aibu katika hizi sarakasi.
Mi nadhani hata wabunge na madiwani hatuwahitaji tena.
Tumejaliwa rahis anayeweza kupanga na kupitisha bajeti yeye peke yake, sasa wengine hawa wa kazi gani tena kama siyo kuongeza tu gharama za mikopo ya magari na posho za kukaa.
Kwanza rahis wetu haitaji kikao na mtu ili wagawane posho kwa...
We kimbwa cha kijani watu tupo kwenye msiba na majonzi ya kumpoteza mpendwa wetu Mawazo.
Huu upopoma wako wa kuanzisha ka Uzi kwa maelekezo ya wauwaji SISIEM ili tu utuhamishe kutoka kwenye kuomboleza tuje kubishania huu uzuzu wako wa Lumumba umepotea.
Damu ya Mawazo itadumu kudai haki...
Sasa na wewe ndo umeandika nini hiki??
Mambo ya wahasibu tuachie wahasibu,
Ulichoandika ni utoto tu wa kukariri misamiati ya kihasibu.
Rais wenu hakuna alichookoa kwa sababu azina haina kitu basi.
We kimbwa cha kijani so ukampe huo ushahidi wako Mzee wa push up ili huyo unayemuita fisadi atiwe hatiani na mahakama ya MAFISADI.
Huu upuuzi unaongea hapa hauna maana yoyote.
CCM uzuzu ni kipaji chenu namba moja siku hizi.
Ya Chacha kama unaushahidi serikali yenu mbona haikamati MTU!!??
Ufisadi wa Lowassa mbona mnauimba tu hamumfikishi mahakamani!!??
Siku so nyingi mazuzu mtaanza kuilaumu CHADEMA kwa mgawo wa UMEME.
Vipi kadi ulirudisha ndugu.
Mi kadi ilipoteaga ila bado ni UKAWA mwanzo mwisho.
Huyu Lowassa sisi wengine sijui aliturogaje yani tumejikuta tunamkubaliiii.
Hizo mila ni pamoja na ibada ya mazishi. Ilitakiwa ifanyike Mwanza jana MBWA za kijani na POLICCM mkatanda jiji zima la mwaza kizuia ibada isifanyike.
Wakaamua basi ibada ikafanyiwe huko Geita, cha ajabu nako MBWA ya kijani ya wilaya eti inazuia watu wasifanye ibada ya kumuaga mpendwa wao...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.