kweli we domo zege tena zege haswa! acha utimbulo wewe demu mwnyw hapo kashakuzarau anakuona boya kuja kumtangazia huku unamvimbisha kichwa bure. ----- mtozeni huyo.....
watanzania mnapenda ngono kweli yaani mnazaliana kama kuku wakati maisha magumu... ndo maana mi naamin zaidi ya asilimia 90 ya watz hamna akili ya maisha, akili yenu ipo kitandani tu kwenye ngono.
Nilikua nauliza hivi, afisa upelelezi wa makosa ya jinai katika jeshi la polisi jina lake la cheo hiko kwa kifupi anaitwaje? ikiwezekana na kirefu chake hiko kwa kingereza. naomben mnisaidie
uckute izo picha ulizokuwa unam2mia kakuona we mbaya i mean una sura baya... Hebu kuwa muwazi sister muonekano wako ni mzuri au ni wa hovyo hovyo ili nkusaidie...
nimeshaisoma na kuimalza yote mkuu hiyo kesi ni full utata. Sasa cjui kesi zako ulizoandika nyuma ntazipata wapi coz mi nimejiunga na JF mwezi wa tano 2012 hlf napenda sana kufuatilia kesi km hizi za kwako.
Keep it up braza kisa kinasisimua sana. Sasa kaka vp ile kesi ya 'Vicent na hukumu ya kunyongwa' aliyeuwa familia yake mwenyewe uliifuatilia mwisho wake km jamaa alinyongwa au la? Ktk kesi zako zote ile ndio niliyoipenda zaidi na ndio nliamini wamarekani wana akili ya upelelezi maana hadi...
mi cha kukushauri ni kwamba ukome uzinzi cku nyngne ukiwa na hamu kapige nyeto co kuharbu maisha ya watoto wa wenzako pumbavu. Ushamtia mimba hlf unataka kumtelekeza hapo chukua mama na mtoto wake ukae nao uwalelee wote uclete ujinga wako. Jitu zima akili za kuazima hovyoo mi umeniboa kweli...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.