..upuuzi mwingine bwana,nyie ndo mlimdanganya mwandishi akajilipua,tokea lini bomu la machozi likasambaratisha mtu vile bwana,hiyo ni akili ya tope ya wafuasi wa chadomo
...zito yuko nje ya nchi kwa majukumu ya kitaifa,acha upuuzi wewe zitto yuko makini kukuzidi asilimia zote na chadema ni kiungo kiasi kwanba hawa unaowaona wanamuogopa mbaya
...let him die,yeye ameshindwa kutoa mchango wa huduma kwa wagonjwa mpaka wanakufa, wewe unatuwekea ujinga,wale waliompa kipondo wangeomba mchango wa kummalizia inshallah tungewachangia fasta..doctor hawazi fanya kazi bila nesi au driver wa kumpeleka job mbona hawawatetei wanajipendelea wao..let...
....asikutishe bwana,hawa madakitari wanaojifanya wajanja ni wajinga sana wanajifikilia wao tu,waulize kama wanaweza fanya kazi bila nesi au mtu wa usingizi au driver wa kuwapeleka kazini,waache ubinafsi,wapo wengine ni majina tu kila akiingia theatre anatoka na maetrnal death,wengine wana vyeti...
....kwa upande wangu ningependa kiwepo kipengele kinchohusu hawa NSSF wawe wanawakopesha wateja wao fedha zinazokatwa kila mwisho wa mwezi,hawafanyi hivyo kwa walala hoi wanawakopesha wabunge tu na watu maarufu, kipengere cha tume huru
...Kinachosemwa ni ukweli hii picha ni ya juzi tu wakati mbowe anaenda clouds,sasa namshangaa anayesema eti picha ni ya lini,watu wengine wanashabikia vyama bila kukiri na hii ndo itaua hivi vyama pamaoja na chadema kujipatia wanachama wengi lakini watapoteza kula kwa huu udanganyifu,tatizo lao...
...chadema ni chama kibaya kuliko chochote maana anayesema ukweli kakosea,mbona mbowe aliuzia chama magari chakavu? zitto alipooji mkataka kumfukuza mkaona itakula kula kwenu,mfukuzeni zitto au chibuda muone chama chenu cha wachaga kitakaposambaratika
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.