Kweli tunakazi, tuanzie hili...
Inakuwaje na aliyekaa marekani na ulaya miaka 30 nae alipofika Tanzania alikwenda kwenye ngumi za Wema an Wolper hadi awashangae watanzania wengine waliojaza uwanja????
Kwahiyo jibu ni kuwa ukikaa ulaya ndio uende kwa wema na wolper ila ukiwa mtanzania umekaa...
Nafikiri dk alimanisha dakika na sio udaktari..
Back to the point... Edo has value 2become a next president, with our luck he will..what if not? Think on your value
Msemo wa wadau humu hadi liishe tutasikia mengi....kumbe kuna kura za mtu na kura za issue
vivyo hivyo kama mjomba wako hafai kua kiongozi na kura ya siri itakufanya usimchague..basi hata maamuzi juu ya issue yanaweza kua sio mazuuri kwa maslai ya taifa hivyo kura ya siri itasaidia kuliokoa...
Ninapenda muungano wa serikali moja.
Sababu ni kuwa kana nia ya mabadiliko ya katiba ya sasa ni kuondoa matatizo yanayalalamikiwa basi tujisahishe kwa kuwa na serikali moja na huu kwangu ndio muungano.
Kimsingi haya mawili chini ndio suluhu ya katiba yetu
(1) Serikali moja ya jamuhiri ya...
Taifa lipo kwenye mchakato wa katiba mpya, pls ebu tuwekane sawa. Inakuwaje wadau wanao shinikiza kudumisha muungano kwenye content za hoja zao wanapendekeza serikali 3 au 2..je huu ni muungano au utengano...???
Wengine wanataka mamlaka kamili lkn wanapendekeza kuwepo na muungano wa mkataba au...
Ebu jibu la kubadili uongozi CDM liwe...'tunasubiri mmfukuze EDO' kuna side wakisikia hili huwa wanakua wapole sn nahisii kupata results flani hapa nisaidieni...
Ahh ahhahah siasa za Tanzania ndio zimefika hapa!!!! haya ngoja tuone siku Kuku wa CDM na CCM wakijitokeza wenyewe...maana siku hizi kuna kuku na vifaranga.
NDG, yangu mchambuzi hakuna aliyekataa faida za muungano ..mie ninachotaka unieleweshe ni faida za serikali tatu..ndio maana kwanza nilitaka unifafanulie wewe kwa uelewa wako serikali ni nn? pia kama kuna majibu ya faida za serikali tatu niambi au copy ulipo andika niwekee mie nimefatilia...
Exactly Man..,there you are...we real have 2 solutions, we either opt for 1 gov. or separate our nation given peoples' will to do that..period.
Eti serikali tatu Mchambuzi ebu nijibu na hili la chini hapa kwanza maana mie naona mijadala huu tunachanganyana tu.
TUANZIE HAPA: TOKEA NAKUA...
Mchambuzi, kwanza naomba nieleweke kuwa ninania ya kuelewa hasa faida ya serikali tatu ni zipi hata tatu zinanitosha ambazo zinasaidia wananchi-pls sio za kisiasa
Nimefatilia nimesoma sana post zako nyingi umejikita katika kuainisha matatizo yaliyojitokeza ndani ya serikari mbili (muungano na...
Mchambuzi, nakubaliana na kuheshimu rasimu ya tume ya jaji Warioba, nafanya hivyo kwa kutambua sio mawazo yao bali ni mawazo ya wananchi walio wengi. Pia Mh. rais alisema vizuri kbs kuwa wanananchi tujadili katiba mpya katika misingi ya kujenga.
Hivyo basi mie naomba uniainishie faida japo tatu...
Serikali tatu ni nzuri sana kwa wingi...jiulize gharama na utendaji wake (usidhani naogopa kulipa kodi la hasha-kulipa kodi ni kuzuri ila pale tu inapokuwepo nidhamu katika kodi inayolipwa)
Subiri hizo serikali tatu kama utaona ndio suluhu ya matatizo unayopigia kelel kila siku zaidi utaona unalipa kodi zaidi na usilalame kwani hizo serikali zitajiendesha kwa bila kukutegemea wewe..poa kama hauogopi gharama sawa...na pia usishahau ukadhani serikali tatu ndio hakutakua kuna wajanja...
Yes mantiki kwa mazingira hayo inaeleweka lkn mie nimeenda mbali nimesema sioni mantiki ya serikali tatu-mzigo huu wa serikali tatu atabebeshwa nani?...ni mwananchi ..ndo maana nikasema kwangu mie serikali moja yatosha iwe kila upande na ya kwake au kwa muungano lkn serikali moja.
NB:kuongeza...
Nashukuru kwa kuandika kwa ushabiki bila hoja kwanza nikujibu we unaona nimekarilishwa lkn mie naona wewe ndio umekarilishwa ''nchi yetu ina rasilimali nyingi na sie ni matajiri lkn mafisadi na wageni ndio wanabeaba(nadhani ulitaka sema madini)...''..ninaposema nchi yetu masikini namanisha ni...
Kimsingi sioni mantiki ya serikali tatu...kama ni muungano basi tuwe na serikali moja ya muungano na imetosha, then rais awe mmoja wengine wawe makamu inatosha.
Sioni mantiki hata chembe ya nchi yetu masikini kama hii kuwa na serikali tatu na ma rais watatu.
Kwanza istoshe maelezo ya katiba...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.