Fanya tafiti kwa makabila ya Tanzania utagundua mila na desturi zetu kabla ya kuanzisha mada na kutoa matusi, fikiria juu ya waarabu, wahindi nk. fikiria pia kwa Adam an Eva then unganisha ...........................................mpaka ulipo wewe utajua kulikuwa na nini?
Omokora Nyangi :nni bora kuweka jina halisi ili wanaserengeti tuendeleze mapambano binafsi ni Mwana Serengeti na nimesoma Serengeti secondari miaka 18 iliyopita ila hilo jina sijui funguka :nono:
Sijakuelewa mfano Mchungaji anatapeli kisha anawekwa rumande then kwakuwa anawafuasi wengi serikali imuachie hiyo akili au tope fikiri kwanza mhalifu lazima apate staiki yake :nono:
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.