Kauli yako is half-truth....
Nakubaliana na wewe kuwa, Kampeni ya Gwajima ni binafsi.... his ego is bruised. Hali ilipofikia ni kuwa kila mkuu atakalofanya kuhusu Makonda, lazima Gwajima a-claim credit kuwa yeye kasababisha. Hivyo inabidi akomae nae tu.
Sikubaliani nawe kuwa Mkuu hawezi...
"Huyu ni statesman ambaye anaendeshwa kwa principles sio mihemko ya kundi dogo la watu ambalo linataka kumpelekesha...."
Anaendesha nchi kwa mihemko ya kwake mwenyewe kama sio ya kundi dogo, hilo pia ni tatizo.
Kuna vitu vingi tu hapa umeviunganisha pamoja.
"Na pia elewa Gwajima ni mtumishi wa Mungu ambaye ana waumini nyuma yake"
Gwajima pia ni mkazi wa Dar-es-salaam. Hivyo kama alikumbwa na fagio la kuitwa kuhojiwa, sidhani kama mungu anafundisha visasi vya namna anavofanya yeye. Wako watumishi...
Kitu ninachohofia mimi ni tabia tuliyonao sisi raia. Ashakum si matusi ni kuwa tuna nguvu ya soda. Sasa hivi kelele nyingi, lakini baada ya muda ishu itapoa watu wataangalia jingine.
Kuna skendo ngapi tayari ambazo sisi raia tunazijua, na zimeishia wapi? Walaji si wameshazitumbua na sasa hivi...
Hayo ndio maneno; kumbe ipo hoja nyingine ambayo Zitto anatakiwa kui-address sio? Kama huwajui wanasiasa bana, atabisha tu.....Hebu tuwekee hako kaushahidi ili tuliendeleze vuvuzela basi.
Kwani wewe hela za kukodisha pango unazipata wapi? Na ukihesabu miaka yote utakayokodisha, si utaweza kujenga. Hoja haina mshiko. Namna gani ya mtu anatumia fedha zake sio ishu.
Mzee Mkono kathibitisha kama ana magari mawili ambayo at some point yalikuwa kwenye miliki yake (Physically), ila sasa hivi yapo kwa Zitto Kabwe. Terms za jinsi yalivyohama, hiyo ni episode nyingine ya (RealHouseMembers of Jamhuri ya Muungano wa Tanzania).
Wakati huo huo upande mwengine nao...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.