Ishu ni kumtoa macho mwenzie that is never acceptable hata kama yeye scorpion ndo mhusika ujue pia serikali haitamtoboa macho atafungwa kwa mujibu wa sheria bila kudhulimiwa uhai au viungo vyake
Lusinde must now start appreciating the roll of education. Kama mtu hujaenda shule basi usiongee hovyo. Ujue kulinda ulimi wake kungemstili maana watu wasinge jua uwezo wake mdogo wa kufikiri
YOU THINK YOU KNOW BETTER THAN EVERY ONE HERE? Ok, define social security and from the very definition state if any reason to let us receive our pension at such late age when we know for sure that only a few will survive at the said age.
Hivi sijajua will it take in consirderation the time value for money? Mimi nina mil. 5 nssf nimeacha kazi recently na nina miaka 30 so nitapata baada ya miaka 25. My major concerns are, 1. Since i was working with a very small enterprise will the firm exist by that time? 2.Will the signatory be...
Tupia kapicha basi mkuu. Maana leo jumapili hata wanafunzi hawapo lazma muaibike. Mtakoma mwaka huu. Wazee kama kuna jembe yeyote atujuze mafuso yako mangapi huko?
Mkuu naunga mkono hoja kwa 100% Na iwapo kuna mtu anapinga umuhimu wa elimu ktk uongozi then such person does not appreciate the role of education as large. Juzi TASAF wametangaza nafasi za kazi na position za kawaida kabisa lakini zote zinahitaji Masters degree. Sasa ukajiulize iwapo mtu wa 1st...
My 1st most message goes to Mr. Kusaga the employer of Kibonde, that please Joseph you must do either of the following against him, either issue him a verbal warning or let him go to joing CCM POLITICS. Please Kusaga do it for the future of our lovely radio station. If at all clouds is the...
Hivi bimkubwa kaolewa? Du! Yaani kwake ubaya ubaya tu bora mradi maslahi ya chama yamelindwa. Du mwanamke kauzuuuu! Au si mzazi huyu? Maana wale wanaoangamia ni watoto wa wanawake wenzie.
Bro, yaani kwa ubabe wa chama sasa hata kuandika una-violate rules za uandishi? Wapi paragraph? By the way I did not like your single. If you ask me why? I don't know. Perhaps because I hate CCM and of course its members. We are going to show you guys on 2015 and that will be the lesson for you...
HIVI NAPE UNATUTAFUTIA NINI KUTUTUMIA WATU WATUCHEFUE? By ze way hizo kero mlilizotatua papo hapo nani aliyesababisha kama sio utawala dhaifu wa kimagamba? Pia ikumbukwe kuwa hata huko mmfika kwa presha ya cdm. Nepi Nepi sijui utaficha wapi sura yako white kama mchina mwaka 2015?
Yeah, nimeipenda idea yako ni constructive. Ila ningependekeza location ya foundation hiyo kwa maana ya hedi kota iwe mambwe pande kwa kumbukumbu zaidi.
Kwa wakati tulionao mtu yeyote anae unga mkono jitihada za ukombozi wa taifa hili kutoka kwenye makucha ya hawa mafisadi ni lazima tumkubali. Kwa hy hata mtikila kama atakuwa nasi basi tumuunge mkono. Maana hapa suala ni kupigana na ccm kwa namna yoyote ilimradi ukombozi wa taifa hili upatikane.
We unaumwa kweli, mbona we huachi ajira yako ukajiajiri kama unadhani mazingira yanaruhusu. We unadhani kama tuna mitaji tungetaka kuajiriwa? Unaonekana kama mizee ya ccm inayozeekea madarakani huku ikihimiza ajira binafsi wakati yenyewe haendi huko.
Since your name is green then you are ccm naturally and your brain must be green in colour, then that's why you are thinking green and talk and talk the greenish. Thdnk u mr. Green. Sasa ujumbe umefika now go to the green chama for ur commission
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.