kwa fikra za wapumbavu wachache wenye kufanya mambo kwa maslahi ya wachache tena wasio na uchungu na nchi yetu na jamaaa zetu ndio wenye kukutia roho ya udini isiyo na manufaa kwako wala kwa jamaaa zako. watanzania tulio wengi na tulio watanzania kweli kooo zetu zimechanganyika ndani yaa koo...
kijana acha kuongea kitu usichokuwa na uelewa nacho. hakuna kwanza comb dhaifu uelewe hich kwanza. tatizo ni uelewa dhaifu kama uliyokuwanao wewe.jaribu kufikiri kidogo. maaana usije ukaniambia tena hata ule wimbo nzuuuu nzuuuu nzuuuu eeeeh mama nyukilia eeeh haujakusaidia.
wapi na lini na kitengo gani ndani ya serikali hii ya tanzania kwa mwanafunzi fresh frm school anaazia na mshahara wa 1.8m. kama kupata kazi umepata lakini huo mshahara kawadanganye wengine sio humu jamvini.
Nahawa wazee tabia ya kupenda watoto zao ndio madhara yake.
Hiki kibinti nacho ni hovyo. Mi naona kijana amwambie ukweli tu baba yake. Ili huyo mzee aamue kusuka au kunyoa. Maana kijana hana kosa hata. Swala kumjulisha mzazi mpenzio ni uamuzi wake yamkini alikuwa kwenye mikakati hiyo.
Uki yawezekana fika huyo dogo anatabia hiyo chafu. Maana kwa fikra rahisi za mwanadamu wa kawaida mwenye elimu ya masters hawezi kukubali jambo kama hilo. Na hata kama hakuelewa nia ya huyo kigogo kuitwa chumbani na kuletewa kinywaji. Bado inanipa walakini tena akamwambie asimwambie mtu halafu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.