Naiwe hivyo mjumbe wetu. Ukirudi hapa kwenye uzi ulezee kwa upana uzuri wa huo mziki na utofauti wake upoje ukilinganisha na miziki miwili ya awali uliyo isikililiza, kodtec nawa filbert.
Hicho kisanga ndiyo nnacho kitaka mimi cjajua vitu vinavyo hitajika zaidi ya hilo li spika na gharama zake kamili niaze kuvikusanya kimoja baada ya kingine
Bila shaka Pioneer mkuu litakuwa linakita zaidi ckuwa na jua spec za kodtec .
Itabidi nifanye namna nikusanye mazaga taratibu kodtec naona hawauzi tena hilo zaga
Mkuu hilo zaga lako kwa uelewa wako ukilinganisha na mziki wa kusuka kama ule wa filibert spiker moja la pioneer na twitter zake upi utakuwa na gonga sana?
Mkuu hapo uli mwelewaje?
Ukaguzi uliendelea na kuona ni subwofeer box yenye bass speakers 3! 2 Deep bass 12" Speakers kushoto na kulia wakati mbele kuna 10" Mid bass (woofer)! Hii subwoofer iko
Samahani mwenye uzi huu naomba kuuliza swali tofauti kwako na wengineo wenye majibu.
Ni app gani naweza tumia ambayo inaweza block internet kwa baadhi ya app kwenye simu ya android?
Pia ni app gani naweza itumia ambayo inaweza funga baadhi ya app kwa masaa kadhaa ambayo nitaamua mwenyewe?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.