Acheni kupotosha na kuwakatisha tamaa hawa wadogo zetu jaman.
Kuna jamaa zangu wa3 2po nao sasa mwaka wa 2 yaan mwaka wa3 watarajiwa walikuwa na f gs na wapo hapa na mkopo km kawa.
Msijali wadogo zetu chuo mtapata,karibuni sn.
Unapata chuo bla shaka na mkopo utalamba km unavigezo vngne coz kufel Gs co kigezo cha kukosa mkopo.
Karibun vyuoni ila kuwen makin msichague coz zenye cutoff point kubwa kuliko matokeo yenu. Ishu hyo iliwacost weng mwaka 2011/2012. Hongera!
Polen sana ndg zangu kwa mliokosa mikopo,lkn nataka kuwaambia kwamba kamwe msikate tamaa kuna altenative nyingi;
kwanza,unaweza kutafuta taasisi zingine za serikali au binafsi na kuomba wakudhamin kukusomesha,
Pili,unaweza ukakata rufaa mara tu baada ya kuripoti chuon,au ukasoma mwaka wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.