Kumekuwepo na maneno mengi sana juu ya tamko la mbunge wa Arumeru Mashariki J Nassari,na zana ya ukanda ama ubaguzi kwa baadhi ya watu na wanachama wa chama cha mapinduzi na hata viongozi wake kwa kuchukua hili kulifanya kuwa ni ajenda yakujadiliwa na Taifa zima,wamesahau kuwa watanzania...
Licha ya serikali ya ccm kuwa kwenye hali tete ya kushindwa kufikia malengo au kutekeleza ahadi zake katika chaguzi zake za 2005 na 2010 na kuendelea kukimbiwa na wimbi kubwa la mashabiki kwa kukosa mvuto bado chama kimeshindwa kukaa chini na kujipima kujitafakari na kutafuta njia mmbadala za...
Ushauri wangu kwa Nape,nikuombe utambue kuwa kuna hoja ya serikali na ya chama sasa katika hili sijakuelewa umelizungumzia kama nani? Je msemaji wa serikali au chama cha mapinduzi? nakuomba uwe na tafakari kabla ya kuzungumza unayo zungumza na kujipima pia.
Sina shaka kusema kwa muda mrefu watanzania tumekuwa na shauku ya kupata watu makini ambao bila shaka wanaweza kuondoa kero za mfumuko wa bei,na matumizi machafu ya fedha za umma na kuleta tija au amasa ya utendaji ndani ya serikali na nje ya serikali, Kwa baraza hili Je ni chombo salama cha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.