Search results

  1. K

    Katibu Mkuu CCM Chongolo hala hala baba, Makonda anakuja vibaya!

    Naomba kuelemishwa. Hivi anayofanya kwa mawaziri na viongozi wengine ni sawa kikatiba na kiprotokali?
  2. K

    Yafahamu Majukumu ya Idara ya Itikadi na Uenezi ya CCM

    Kuna katabia kanalelewa na kakiachwa kataenda kuwaabisha hadi viongozi wakuu wa nchi. Kuna tararibu za kiuwajibikaji serikalini na kwa chama. Hizi fujo za kuwakaripia mawaziri na viongozi wengine ambao wako accountable kwa Rais, Waziri Mkuu na katibu mkuu kiongozi ni za kidhalilishaji. Iko siku...
  3. K

    TEC toeni tamko kukemea ubaguzi kwenye elimu

    Tunapenda sana shortcut bila kuweka juhudi. Mtoto anakaa kwenye TV Jumatatu mpaka Jumatatu, mzazi yuko busy na iPhone 15 then anataka TEC wamuingize tu kwenye shule zao bila kufaulu.
  4. K

    TEC toeni tamko kukemea ubaguzi kwenye elimu

    Wameweka criteria ya kujiunga na shule zao na mtu ukitaka unafuata taratibu. Ni mchakato kwenye shule na vyuo vingi duniani. Hali kadhalika, kuna vigezo vingine kama tabia n.k. Ukiingia ukaleta tabia zisizokubalika unafukuzwa mara moja. Tumeona quality ya wanafunzi wa hizo shule na hata...
  5. K

    Jinsi ya kumpima mdada kama ana asilimia kubwa za kukubali au za kukukataa, kabla hujamtongoza

    Kuna watu wametoka familia au kwenye makuzi ya kuona kushare glasi, kikombe, chupa , kijiko kama jambo la kawaida.
  6. K

    Sehemu ya uzazi ya mwanamke kwa asili ya uumbaji wake kimuundo ni ngumu mwanamke kufika kileleni. Wanaume tusilaumiwe wanawake watuongoze wao.

    Uwezo wa mwanaume asiye na tatizo, kumridhisha mwanamke kunategemea sana wote wawili. Mwanamke akiwa mchafu, mzito, hana manjonjo na hapendani na huyo mwanaume, asibashiri kuna dawa zitamtibu mwanaume.
  7. K

    Umewahi kukataliwa hadharani kinyume na ulivyotarajia?

    Kuna baadhi ya wanawake wanachangia sana kutengeneza wanaume kuwa katili. Wakipendwa sana wanaleta dharau. Wanaacha wanaume kwa ukatili tena kwa kuwadhalilisha pasi kujali. Matokeo yake wanaume wanabadilika na kutowajali kisha wanaanza uanarahakati. Wanawake wanaojua kuwajali na kutodharau...
  8. K

    Kuna siri gani kati ya mwanaume mrefu mweusi na wanawake?

    Atarudi tu wanawake hawaeleweki.
  9. K

    Acheni kumuandama Rais Samia, angeweza kusaini bila kuwashirikisha na msingefanya chochote

    Kasikilize wataalamu wa sheria wakielezea kwanini huu mkataba ulihitaji ratification ya bunge. Huu mkataba unagusa utungaji na ubadilishaji wa sheria za nchi. Ni kanuni za kisheria na isingewezekana bila kupita bungeni.
  10. K

    Ni red flags zipi ukiziona kwenye mahusiano mapya unaanza kutafuta mlango wa kutoka?

    1. Kukosa mipaka kwenye mahusiano na jinsia me. 2. Uchafu 3. Uvivu uliokubuhu 4. Udangaji. Mtu maarufu anaweza ondoa utu wake 5. Ukorofi na ulevi wa kukera
  11. K

    Rais Samia Ziarani Namibia

    Nawaza tu watanzania hapo tulitaka mama atume mtu kwenye sensitive meeting kama hiyo au sijaelewa?
  12. K

    Mabinti wenye umri wa kuolewa na hawajaolewa wafukuzwe nyumbani haraka

    Sio kila mtu ataelewa usemalo. Wanawake wengi sana wanapitia unyanyasaji wa kijinsia na kuvumilia hadi wengine kufariki kwa kuhofia kutopokelewa makwao na kuhukumiwa na jamii.
  13. K

    Usije jaribu kumuaibisha/ dhalilisha mwanaume mbele ya Familia (Mke & Watoto) hata kama akiwa mnyonge kiasi gani

    Shule nzuri ya maisha kwa watoto ni namna unadhibiti hisia pale unapokwazwa kwa makusudi na mtu mwingine. Onyesha hekima nao watakuheshimu na kujifunza jambo. Hii ndio revenge kubwa kwa mtu anataka kukuabisha mbele ya watoto.
  14. K

    Prof. Muhongo asema kuwa hii habari ya 16% Share kwenye Madini huenda tumeliwa!

    Yatupasa kuelewa siasa. Hata ulete mtu wa namna gani, ni lazima mfumo mzima uwe una malengo sawa.
  15. K

    Mabinti wa Kaskazini(Arusha & Moshi) Ni Tatizo, Wameshindikana. Be Warned

    Wadada wa Arusha na Moshi wanaolewa au kuwa kwenye mahusiano vizuri na wanatulia sana tu.
  16. K

    Aisee kuna wanaume wavivu

    Sio visingizio, wapo wenye changamoto ila kiuhalisia wanaume wote wanapata hamu ya kwenda round nyingi kama hayo yatazingatiwa ila fanya haya uone. Kuwa mchafu - hili la msingi kuliko yote Kuwa mzembe kiafya, na wewe unahema kama tractor Uwe kero, kelee kama radio. Tendo lenyewe ubunifu huna...
  17. K

    Aisee kuna wanaume wavivu

    Mwanaume akiwa anapata amani toka kwa mwanamke, akampenda sana, mwanamke akajijali kiusafi na kiafya, na akawa hodari kwenye tendo, uwezekano wa yeye kwenda round nyingi ni mkubwa sana. Kinyume cha hapo mwanaume hawezi kuwa na hamu ya tendo na huyo mwanamke.
  18. K

    Godbless Lema: Tunawaagiza Wanachama wetu hakuna sababu ya kumkosoa Rais Samia kwa sababu ameonesha kwa vitendo kuiheshimu Demokrasia!

    Hajasea asikosolewe bali kaongelea wasitumie maneno ya kumkashifu. Watu wameamua kuweka yao. video ziko you tube
  19. K

    Wassira: Mnataka serikali za majimbo mnafahamu zilivyo na gharama au mnaigiza tu

    Majimbo vs uongozi wa mkoa na wilaya pamoja na madiwani [emoji848]
Back
Top Bottom