Nafikiri hapa sio uduma, hapa ni kitu unacho promote ni tofauti na kile unachokwenda kumkabidhi mteja quality ya service and trust natoa mfano halisia wangu,
Tulikubaliana malipo ya web design kwa Tsh250,000/= kisha nikatoa advance ukasajili web yangu kwa Tsh90,000/= unlimited na sharti ni kua...
Angalia nisije weka details zote hapa nikazidi kukuchafua....sawa mimi ni mmojawao niliokufahamu pitia hapa JF na kukupa kazi na baada ya malipo tuu mauzi yalipoanzia hapo tena bora hii bei ya sasa Mwanzoni ilikua 250,000/= .... bahati mbaya nipo mbali ila hela yangu siku itarudi tuu.
Ni mtu ambaye sio mwaminifu amini hivyo nilishampa kazi ya web na nilimlipa lakini kazi akunifanyia ila alichoniweza ni kuomba malipo yake haraka wakati akijua ni nini anachokusudia.
*WHEN TO BE SILENT*
1. Be silent - in the heat of anger.
2. Be silent - when you don't have all the facts.
3. Be silent - when you haven't verified the story.
4. Be silent - if your words will offend a weaker Person.
5. Be silent - when it is time to listen.
6. Be silent - when you are...
Kodi, P.A.Y.E, Nyumba, Maji, Umeme, Ada za Shule kwa watoto na chakula. Kodi nyingine za ovyo ovyo Kama Mpesa, Simu, Bank, Nauli na mengineyo ni kuongezeka kwa bei za bidhaa kwa mlaji bado kwa mstaafu or mfanyakazi mwenye Nyumba na Kiwanja inabidi alipia hati ya Kiwanja na Nyumba( property tax)...
Tokyo40 Nashukuru kwa kumjibu Vyema na kumtoa ukakasi kuwa above 18yrs Kijana anaingizwa Kwenye benefit za kujikimu na Nyumba etc. @ MkamaP nimefanya reference ya Mwalimu cause ndio hao wanaopokea mshahara mdogo katika serikali yetu hiyo laki5 kwa Kima cha chini cha mshahara wa serikali umetoa...
Nilitaka kukujulisha umelita mswada ukakopi and paste kutoka europe ili na sisi tulipe kodi hata ya TV je umefanya research hata ya kulinganisha Kiwango cha chini cha Mtanzania anacholipwa?? Nimekupa mfano wa mwalimu 300k take home, hapo bado Kodi kadhaa, Nyumba, Maji, Umeme, simu, Bank, chakula...
Unemployment insurance is a joint federal-state program that provides temporary benefit payments to employees who are out of work through no fault of their own, until they can find another job. These days, finding another job is no small feat: Many workers have found themselves out of work for...
Kumbuka na kuongeza kipato kwa mtumiaji/ mshahara wa mwalimu na hizo kodi ni unamsaidia or unamkandamiza??? Unafananisha Africa na Ulaya Ujui Above 18yrs old huyu kiumbe analipwa hela ya kujikimu kwa mwezi?? Na mengineyo.
Tunapenda kutambulisha website Macstage real estate | Powered by Topgcstech web solution ambayo ina husika na matangazo yanayohusu Ardhi,Nyumba kwa yeyote anayetaka Kuuza/Kununua unaweza kutupia humo.
Ni site inayojihusisha na REAL ESTATE.
Pia tunapokea ushauri wa maboresho ya website zaidi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.