Tumewahi kula kwao si siku zote ndizo zinatoka Mologolo, na mchele unatoka Mbeya na sukari inatoka Mtibwa ??? tukipunguza jeshi letu litakuwa na nani nyuki ???
Mazrui sio katika watakaolio na kama atalia basi atakuwa mru wa ajabu maana zabuni za kujenga hospitali ya wilaya zinafanywa na kampuni yake na viaja wake. sasa huwezi kunyea unapokula kwa utamaduni wa Pwani
Kikatiba Rais wa Zanzibar hapaswi kufuata ushauri wa mtu yoyote, ila atasikia ushauri, kuufuata na kuutoufuta ni juu yake hashinikizwi kisheria kabla ya kutoka wangepigana kunabadilisha hilo kwamba Rais awe anaufuata ushauri
Kwani shida iko wapi, Marehemu Mzee Karume alikuwa Rais wa Zanzibar hakuzaliwa Zanzibar na alizikwa Zanzibar, Marehemu Mzee Aboud Jumbe Mwinyi alikuwa Rais wa Zanzibar hakuzaliwa Zanzibar na amezikwa Zanzibar, sasa shida iko wapi ??? na kwanini Mwinyi asizikwe Zanzibar.
Mzee Ali Hassan Mwinyi...
Tanzania Ports Authority (TPA) na Zanzibar Ports Authority (ZPA) na hili mkalitazame, tangu mgogogoro wa Bab el Mandeb uanze na meli kuzunguka bara la la Afrika kwenda Ulaya (Mediterranean) na Marekani kupitia bahari za Tanzania (Indian Oceana), jee kuna ongezeko la kiasi gani la meli za...
Tena kwenye jambo la kifo (rambi rambi) kwa nchi mfadhili, Ndio namkumbuka Magufuli na kumuelewa kwanini alikuwa anatumia Kiswahili zaidi. Ingekuwa ni salamu za posa kule kaskazini magharibi basi wangerudisha hiyo posa. maana umewakosea.
Na huko Uingereza eti alisoma degree mbili kwa pamoja kati ya mwaka 2011 - 2015 tena Birbeck College, University of London
Bachelor's degree, International Relations and Affairs · (2011 - 2015)
Bachelor of Arts (BA), Global Politics & International Relations · (2011 - 2015)
Haingii akili mtoto...
Wazungu waliangalia uwezo wake wa kuchara kiswahili kwa sababu alikuwa anahudumia idhaa ya propaganda ya BBC kwa Afrika Mashairki, huhitaji jengine zaidi ya kusema kiswahili kwa ufasaha na chenye ushawishi wa wazungu kufikia malengo yao ya kisiasa Afrika Mashariki
Kisha afanya degree mbili kati ya 2011 - 2015 Birkbeck College, University of London, huku akitokea darasa la saba jiongeze, jamaa ni bumbla ana karama ya mdomo tu maana mtoto wa Dar es Salaam, lakini kichwani hamna kitu pale.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.