Ah wapendwa leo nikiwa ndani ya daladala nkasikia watanganyika flani wakimtaja md wa bank ya taifa ya biashara kua mkewa analipwa mamiliano jama mshahara jamani kwa kua tu mke wa md!!kimei nae mke wake analipwa na ma md wengine?hebu nifungueni macho jamani nsijekua mie mshamba
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.