Zitto ni msaliti, Zitto anapenda sifa, Zitto hasikii, Zitto hawezi kung'ara nje ya CHADEMA, CHADEMA ina watu wengi zaidi ya Zitto ,sasa Zitto kasepa, wameanza kusema ameenda kuvuruga upinzani, ametumwa na CCM kuharibu upinzani, jamani mlitaka aache siasa?
Mlitaka asiwe na chama? Mlitakaje...
Kitu kingne alichosema Nape hapo kakola ambacho ni cha kijinga kwa kujua kuwa hakuna atakayeripoti ni hchi hapa: alisema hvi, jamani msiwasikilize akina Slaa hao wanasumbuliwa na njaa tu, jamani kuna mtu alikuwa mpinzani kama Maalim Self zanzibar? Lakn leo yuko wapi? Tumempa serikali ya umoja...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.