Jamaa mmoja akizungumza na mwenzake mazungumzo yalikua ivi MWENZAKE bana mimi nataka kununua tv JAMAA acha ufujaji wa pesa tv yanini wakati hata siku moja hutokuja kuonekana kazi kuwaona wengine.MWENZA duu uh hii kali
Eeeh bhana saafi kwa hii maada but nataka kukueleza kwamba mtoto alie lelewa na mama huwa mwenye busara na mwenye uchungu na utafutaji kimaisha kwani anapozikumbuka shida alizopata na mama yake ni waz na dhaili hawez kuwa mzembe ila ktk kipengere cha kumsamehe mding huwa tunakua wagumu kutokana...
Kipi kinachomuweka njia panda sasa? Kama amefika kwa huyo mdingi afunguke. watu wasitoe mawidha ya mwisho wa siku ikawa bule, coz mtu akipenda huwa ashauliki.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.