Mnakumbuka uchaguzi wa 2015 pale Dodoma kuna mtu alikamatwa na brifkesi la noti karibu na ukumbi wa CCM?
Kipindi kile rushwa ilikuwa jambo la kawaida sana ndomana watu walikua na ujasiri ule, na juzi watu wamegawana rushwa kwenye chaguzi za ndani za CCM. Nyakati zote hizi mbili zina uhusiano...
Wanyamwezi tuna usemi "if it ain't broke, don't fix it."
Tulikua tunaenda vizuri tu, umeme ukikatika hauendi muda mrefu unakua umerudi.
Lakini tukaona hapana, tupindue meza. Kalemani kaa pembeni ili aje January.
Makamba tungeweza kumuweka hata wizara ya mambo ya nje, lakini wapiii? Kalemani...
Pesa, noti za Tanzania zina printiwa Ujerumani.
Nchi mbili tu Afrika Mashariki ndo zinachapa fedha nchini mwao ( Kenya na Congo), pia ni nchi tisa tu kiujumla Afrika ndio zinachapa fedha zao ndani ya nchi zao.
Chanzo: DW
Nchi za afrika na chapa za fedha
Sio kweli, kiwango cha akili kitaalamu kinachangiwa na mambo mengi
Moja ni uzito wa mtoto anapozaliwa. Mtoto mwenye uzito mkubwa hivyo ana ubongo mkubwa na akili nyingi.
Pili mazingira, changamoto nyingi zimafanya binadamu awe mbunifu ili awese kusavaivu hivyo kufanya mpaka anapofikia umri wa...
Serikali imewaonea huruma wafanyakazi wanaolipwa kima cha chini lakini bado wanakatwa PAYE.
Ikaona si sawa mtu alipwe laki 3 yenye kodi wakati kuna bodaboda wana ingiza mpaka laki 6 kwa mwezi na hawalipi kodi ya kipato.
Sasa namna ya kuchukua kodi kwa watu ambao wana kipato na hawalipi kodi...
Hana kiburi, akili tu hana. Yeye hana mipango ya maendeleo ya muda mrefu hata kama ipo sio kipaumbele kwake. Anataka kutatua changamoto moja moja inayotokea sio kushughulika na hali ya uchumi kiujumla. Sasa hivi Inatafutwa hela ya ruzuku ya mbolea kwasababu hesabu za mkopo zimegoma. Tarehe 15...
Yaani watz tunavyoishi ni kama vile bado tunajifunza kuishi. Ni kama vile tupo mafunzoni yaani hata ukikosea mara mia kwa kufanya makosa yale yale utajirekebisha kwenye maisha yenyewe haya yakipita. Hatupo sirias kabisa.
Kila kitu kimepanda bei kasoro mazao ya mkulima tu yaliyo shambani. Yaani...
Kati ya mambo ya ajabu nchini, ni hili la kutofuatwa mtaala la wilaya ya Rungwe.
Yaani wilaya yote imeamua siku ya Ijumaa vipindi vya darasani vitaisha muda wa kawaida ( saa 9 kwa msingi na saa 11 kwa sekondari)
Hakuna uhiari wa kuwepo au kutokuwepo shule muda wa swala ya ijumaa, tofauti na...
wanaotumia mashine za efd kuna sehemu inabidi wajaze TIN ya mnunuzi iili ionekane kodi imelipwa na nani. Kodi ya VAT tunalipa kila siku tunapofanya manunuzi lakini risiti haioneshi kama ni wewe ndo umelipa. Nchi za watu huko risiti ya manunuzi inamtambulisha mnunuzi kama mlipa kodi.
pumba tu hizi, imperialism ipo ya kutosha. Kuna nchi africa hii ambazo benki kuu zao ni tawi la benki kuu ya ufaransa.
Sisi kutumia shilingi kama thamani ya fedha yetu ni ubeberu wa kutosha, shilingi ndo fedha yenye thamani ndogo sana kwenye mtiririko wa fedha duniani.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.