Ndugu zangu wachangiaji wa hizi topic mbalimbali zinazokuja hapa Jamii forum. Labda ningeomba muongozo kidogo. labda nilikuwa nimepotea kwa muda nilivyorudi nikakuta home page ya Jamii Forum imebadilika kabisa. zamani ulikuwa ukishalog in kwenye home page unakuta thread zote pale unachagua ni...
Ndugu zangu wachangiaji wa hii mada ya mihadhara, napenda tu kusema ukweli hawa wenzetu waislamu ni watu wa ajabu sana. Tunachokisema ni kwamba hatuko against waislamu bali against uislamu. Wao waislamu wamekuwa hivyo kulingana na walichofundishwa kutoka kwenye vitabu vyao vya dini, ikiwemo...
Samahanini wasomi wa JF sikuwepo kwa muda mrefu sana na nilikuwa mara nyingi napenda kusoma thread za dini, baada ya kupekua pekua kidogo ndo nikakutana na hii ya Russel. tangu nimeanza kusoma sijamkuta Mtindio wa Ubongo yupo?
Kwa leo ningetoa tu ushauri kidogo kwa Blue Ray, sidhani kama Max...
Samahanini wasomi wa JF sikuwepo kwa muda mrefu sana na nilikuwa mara nyingi napenda kusoma thread za dini, baada ya kupekua pekua kidogo ndo nikakutana na hii ya Russel. tangu nimeanza kusoma sijamkuta Mtindio wa Ubongo yupo?
Kwa leo ningetoa tu ushauri kidogo kwa Blue Ray, sidhani kama Max...
Haijalishi umefanya mangapi mazuri kafanya mazuri ndiyo lakini mazuri yote aliyofanya yanazimwa na ufisadi wa hali ya juu waliyoufanya yeye na jopo lake la watendaji akiwemo huyo aliyeko sasa kikwete.
kikwete hawa aliyowarithi wamekuwepo kwa muda mrefu kwa sababu naye ni mhusika hawezi...
Thanx M/Kike but subsidizing wouldnt solve the long standing people's mayhem. the only solution JK and his government needs to do amicably is to dissolve all this horrible and horrifying contract Tanesco entered with all these unscrupulous power companies. this is were all the Tanesco revenue is...
Nakubaliana na quote ya hapo juu kuhusu mama Kilango. Kweli siku ile ya kujiuzulu kwa waziri mkuu alisema hawezi kuwaachia akina zito ndiyo waikosoe serikali. huyu mama anaonyesha bado anadhani kwa moyo wake kabisa kwamba watu wa upinzani hawapaswi kupata credit yoyote kwa lolote walisemalo juu...
Mama Kilango kweli anahitaji watu wote wampe tafu. lakini napenda kumuliza mama kilango yeye na hao wabunge wote wa CCM walikuwa wapi kwa muda wote huo mambo hadi yamefikia hatua mbaya kiasi hiki ndo wanajaribu kupaza sauti?
Walifikiri ufisadi unawaangamiza wapinzani peke yao na familia zao...
acha hao wakubwa wapige kelele, wanapiga kelele za kusumbuliwa kwa nini? hiyo orodha iliyotajwa ya waliokwenda mahakamani, kuna majina kama Kahama na nyalali. Hao si waume zao au familia zao zilishakaa sana madarakani na ndo waliohusika na hii mipango miji mibovu tunayoiona sasa hivi na matokeo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.