Search results

  1. Olaigwanani lang

    Leo katika Historia: Dkt. Salim Ahmed Salim

    SALIM AHMED SALIM; MWANASIASA MWENYE AKILI, MTULIVU, WAZIRI MKUU MSTAAFU, MWANADIPLOMASIA MKONGWE NA CHAGUO LA NYERERE KAMA MRITHI WAKE ILA FITNA ZA WAZANZIBARI NA UNYERERE UKAMPONZA, IKAMFANYA ACHUKIWE NA KUGEUKA LULU ISIYO NA THAMANI. Na. Comred Mbwana Allyamtu -CMCA Monday 1/1/2023 (🧵Uzi...
  2. Olaigwanani lang

    Godbless Lema: Makamu wa Rais si Mungu, ukiumwa sema, ukisafiri kikazi sema

    Nawashangaa sana watu wenye hasira wananchi wanapouliza kiongozi wao yupo wapii?? Kama uyu anayesema lema ni mpumbavu..... utafikiri yeye ni mtoto wa V.P....ana Stress tupu......hawa ndio wale chawa tena wasiolipwa...
  3. Olaigwanani lang

    Askofu Munga: Moyo wangu umeugua kwa dhuluma KKKT waliyomfanyia Askofu Bagonza

    Hawasemi ukweli kwa nini walitolewa kwenye kikao... Ipo shida kwa hao watu wawili lakini wapambe wao hawa kina Munga hawasemi ukweli lakini watu tunaijua
  4. Olaigwanani lang

    TANZIA Askofu Mstaafu wa Dayosisi ya Kaskazini ( KKKT) Dkt. Erasto Kweka afariki Dunia

    Kwa heri Baba yetu...wewe ndiye ulizaa dayosisi yetu ya Arusha ukamweka Askofu Laizer kazini pale usharika wa Ngarenaro mwaka 1988. "IRUVANI NKUNDI"
  5. Olaigwanani lang

    Wananchi wa Longido Wafukuzwa kwenye vijiji vyao

    Ndugu wana jf ni siku za karibuni tuu wananchi wa Loliondo ngorongoro wameondolewa kwenye maeneo yao ya asili...na sasa zoezi hilo limeshaanza wilaya ya Longido ambapo vijiji zaidi ya 30 vya mlima wa Ketumbeine na Gelai wameambiwa waondoke haraka kwenye maeneo yao ambayo wameishi kabla hata ya...
  6. Olaigwanani lang

    Arusha: Daladala zagoma tena Arusha, leo Agosti 14, 2023

    Ndugu wana Arusha na watanzania wote kwa ujumla mkuu wa mkoa wa Arusha, mkurugenzi na mamlaka husika za usafiri walipaswa wawe waneshatumbuliwa mpaka sasa kutokana kushindwa kutatua mgomo uliopo wa magari ya usafirishaji ulioleta adha kwa wananchi mara ya pili sasa ndani ya muda mfupi. Hali ni...
  7. Olaigwanani lang

    Ukoloni unarudi Tanzania?

    Tumbo kitu hatari sana wandugu
  8. Olaigwanani lang

    Kwanini kila aliyejaribu kuhujumu CHADEMA anakufa kimwili au kisiasa ?

    Kwanini kila aliyejaribu kuhujumu CHADEMA anakufa kimwili au kisiasa ? ------------------ Nimechunguza kidogo kuhusu jambo hili na kiukweli nimethibitisha . Wale wote waliojaribu kuhujumu Chadema Kwa sababu ya Madaraka , fitna , usaliti , uchawi au kwa lolote lile wengi wamekufa na kuzikwa ...
  9. Olaigwanani lang

    Ushauri wa Bure: Ukijikwaa ukaanguka, usiangalie tu pale ulipoangukia, bali angalia pale ulipojikwaa

    Nani asiyejua kuwa Covid 19 ni Magufuli Project na kibaraka wake mtiifu Ndugai.???EBU tuwe wakweli
  10. Olaigwanani lang

    Godbless Lema wewe ni nani mpaka useme utashughulika na Geordavie?

    Wanaomtetea GD EBU kwanza wawapeleke wake zao wakavuuliwe nguo na kupewa milioni ndio waje hapa kumponda Lema.
  11. Olaigwanani lang

    Mawakili wa CHADEMA waghairi kuwahoji Halima Mdee na Wenzake 18

    Nani asiyejua kuwa Covid 19 ni miradi wa Magufuli na kibaraka wake mtiifu Ndugai?
  12. Olaigwanani lang

    Thadei Ole Mushi: Wabunge wa CCM wanahitaji kufanya tathmini ya kina kuhusu 2025

    WABUNGE WA CCM WANAHITAJI KUFANYA TATHIMINI YA KINA KUHUSU 2025. Na Thadei Ole Mushi. Wanachokifanya Chadema kwa Sasa ni kutokumshambulia Rais Samia kabisa kwenye Siasa zao badala yake wanadili kushambulia wabunge na Majimbo yao. Mfano Sugu anamenyana na Tulia, Lema anamenyana na Gambo, yaani...
  13. Olaigwanani lang

    Arusha: Yaliyojiri mapokezi ya Godbless Lema, Adai VICOBA ni umasikini, Mama lishe ni utumwa, Samia asitukanwe, Mbowe ampa kazi ya Katiba Mpya

    Yule ni mchaga bwana tena Mmachame ana estate ya kitimoto hawaesabiki huko kwao nkuu
  14. Olaigwanani lang

    Kwa Mamlaka za nchi na Watanzania wote, hali ya kufunga barabara inaudhi sana

    Kuna kitu hakipo sawa Tanzania na inasababisha sisi Wananchi tuichukie nchi yetu alafu viongozi wanatusisitiza eti tuwe wazalendo. Ni zaidi ya dakika 50 sasa barabara ya moshi Arusha imefungwa magari yapo foleni isiyo na mwisho eti kisa rais anahutubia USA njiani, hivi kama unataka kuongea na...
  15. Olaigwanani lang

    CCM inatumia pesa za umma kuwalipa Chadema ili kuonesha kuwa kuna demorasia nchini ili kuwalidhisha Mabeberu.

    Na zile milioni 10,zilizotolewagwa na yule shetani kuhonga kila mbunge wa chama chake zilitoka katika fungu gani la serikali????
  16. Olaigwanani lang

    Wanaokebehi juhudi za BoT kulinda hela zetu za kigeni wajifunze haya

    Huyu Yahya Msangi ni propagandist bingwa na mhafidhina wa kufa mtu.......Sasa unachanganya ishu kama hii na siasa maana yake nini????
Back
Top Bottom