Ww muongo sana ccm ndio chama cha mwanzo kuja na mfumo wa kidigital kisha kaz iko vzr chadema mashine tu kanunua alyekosa ubunge cdm ina njaaa kali hlf uyo mtt chini mkali kisha anakuwa cdm atakuwa mchawi
Huyu Kamanda ni muongo tena uongo wake ni wa kiwango cha Tozo za Tanzania, hivi jamani Gaidi gani ambae hataki kuuwa Raia anataka polisi tu??? Tutizame hao IS walvyo wanataka public ya watu ili wajitoe muhanga na kuwauwa watu wengi, Hamza anaonekana katika video hanaa time kabisa na Raia jambo...
Ni mapema kutoa hiyo kauli uwezi kumwita hamza gaidi yulr si gaidi magaidi wao ulenga majority ya watu na kuwauwa hamza hakufanya ivo, kaka hamza yeye alkuwa na kisasi na polisi... Polisi watuambie ukweli wamemfanya nini Kaka Hamza???
Kwa hiyo TAKUKURU wanafanya kazi za tuhuma au zenye uhtibitisho kwa hyo mie sasa hivi nikiwapa tuhuma ya sabaya na sina ushahidi wamkamata... Basi tuna watu dhaifu sana....
TISS haiwezi kuwa sehemu ya mipasho, mbunge kasema wai wajibu kwanza hata thamani yao itaondoka, uzi wako umeegemea sana katika dhana huna huthibitisho wa matendo.... Narudia TISS haiwezi kugeuka kujibu kujibu... TISS si watu wa mipasho....
Mkuu wa Mkoa Kaskazini Unguja, Mhe. Ayoub Mohamed Mahmoud ametangaza rasmi Tamasha la Zanzibar Sea Food Festival ikiwa na kauli mbio Kamata Mshipi Vumba ni Fursa.
Acha upuuz police wanapokea ripoti ya daktari, kwani unavockia mtu kabakwa kwa kuwa ripoti ya daktari inathibitisha, ukisikia mtu kagongwa na ktu kzito ni daktari ndiye anayetoa report na kukabidh police.
Upumbavu si mzigo tu kwa mpumbavu bali kwa taifa Zima -The great B
Kuna kitu kimoja huwa watu hawajui, hawa watu huwa na maisha mengine ambayo nyie viherehere hamuyajui, maisha yao hayo uyafichwa kwa mwavuli mwengine
Sent using Jamii Forums mobile app
Na nitumiemimi@gmail.com
1. Mwaka 2018 akiwa Rc Mkoa wa Mjini Magharib Zanzibar, mwenge ulizimwa Mkoani kwake na yeye akiwa kiongozi.
2. Mwaka huu 2020 April, Mwenge unawashwa Mkoa wa kusini Unguja, na yeye akiwa Mkuu wa Mkoa wa kusini Unguja
3. Ni kiongozi kijana anayeangaziwa zaidi na...
ndyo yeye n zaidi ya rais maana kuna marais wengi, kuna rais wa mashoga, rais wa wasanii, rais wa fifa,rais wa mlima ng'aro, rais wa mazense, sasa yeye nae ni rais wa kufufua mizukule gwajima
Tumeridhika na Utanzania wetu, kaeni na umarekani wenu, kamwe hatutauza utu wetu kwenu,Naipenda Tanzania nitabaki Mtanzania hata nikingia marekani nitarudi Tanzania, kwanza naingia kufanya nini???Long Live Paul Makonda, Hakika kweli tunapiga hatua siku zote ukiona hawa marekani wamenza kukupiga...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.