Hawa wayahudi nao waache upumbavu, wanaanza kupiga piga mabomu hovyo mara Iraq sijui Syria mara Iran ili iwe nini sasa?
Watatusababishia maisha magumu tu hawa wapuuzi..
Hivi nyie mkishashiba ugali huwa mnaongea tu mnavyojisikia.
Vita vya dunia ashindwe kusababisha Urusi huko Ukraine waje wasababishe hao wajinga wawili tu?
Muwe mnalala tu kama mmeshiba sana.
Uko sahihi kabisa, hata yeye ameleta uzi kuchangamsha genge tu.
Inategemea tu na watu uliobahatika kukutana nao.
Mimi ningesema hakuna Isabella mbaya.
Nimekutana na akina Isabela watatu ni visu hatari.
Mitoto miblack beauty rangi ya chokoleti imepanda juu na mashepu mazuri kinoma.
Sijui hao uliokutana nao mkuu, mimi nilikuwa na mashine mbili, moja inakaa Uyole nyingine Kalobe, wale mamanzi ni visu usipime, wana sauti nzuri customercare wa mitandao ya simu wanasubiri.
Nilimpeleka mchepuko wangu kutoa mimba, kwa jinsi alivyokuwa analalamika nikahisi daktari anakula mzigo kwanza kulainisha njia.
Walivyokuja kuniita nikagundua kumbe ni wasiwasi wangu tu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.