Tunalisha kuku wetu tetracycline tukiamini kuwa watanenepa. Dawa za ukimwi ni dili kwa wafugaji na wapika pombe za kienyeji. Tunaongeza maji (ambayo tunajua wenyewe yanakotoka) kwenye maziwa, tunatumia nyanya mbovu kutengeneza tomato sauce n.k. Halafu unasema jini likujualo halikuli...
Na uthibitisho mwingine ni tangaza shughuli mtaani halafu weka masinia ya wali na maharage uone watoto na watu wazima watakavyofakamia. Hawa vijana ni wajinga mno.
Amandla...
Msipende kutukana maana hamkawii kuonyesha ujuha wenu. Hao wamarekani wanaanzaje kupeleka chakula Sudan, Somalia na hata Haiti? Kwa ujuha wako unadhani hivyo vimchele walivyotuletea ndio umemaliza kabisa akiba yao ya mchele kiasi kuwa hawawezi kusaidia nchi nyingine?
Hawa watu wanawajengea...
Kwa sababu Bashe ameukataa ndio unaamini kuwa wamarekani hawakuombwa msaada huo? Huo msaada umepitaje kote huko bila ushiriki wa serikali? Una uhakika gani kuwa serikali yako haikuomba kujumuishwa katika hiyo program ya serikali ya Marekani?
Tunatoa watu ubavu wa kumtukana mtu anayetusaidia...
Kigezo kimoja cha commitment yake ni muda aliokuwa mwanachama na mchango wake pia. Watajitokeza wengi uchaguzi unapokaribia ambao nia yao ni kujiongeza value ili watamaniwe na vyama vingine.
Amandla...
Kwani unafanya nini ambacho hautaki akione? Tofauti na unavyodhani yeye kuweza kuona eneo lako ndio anakuongezea usalama. Mkivamiwa au likitokea janga lolote ataweza kuwasaidia. Hata ungeweza kujenga ghorofa usingeweza kumzuia kukuchungulia. Kubali tu hali na ujitahidi kuishi nae vizuri maana...
Katibu Mkuu wa Chama ni mtendaji Mkuu wa Chama chake. Mkuu wa Mkoa ni mwakilishi wa Rais katika mkoa wake. Kwa hiyo anaongoza watu wote wanao ishi katika mkoa wake bila kujali vyama vyao. Aidha, ni Mwenyekiti wa Kamati ya Ulinzi na Usalama ya mkoa wake.
Amandla...
Maneno mengi. Weka data hapa. Usipende kutafuniwe kila kitu. Ukweli sio kwa sababu unasema. Ukweli ni kwa sababu umeujengea hoja. Umesema Mwalimu alikuwa mbaguzi wa kidini halafu unamtolea mfano mtu aliyebaguliwa kwa sababu ya dini kumbe nae ni mmisheni kama Mwalimu.
Kwa nini umlaumu Mwalimu kwa...
Umeingiza udini mahali ambapo sipo. Haukuweka mfano kwa sababu unasema tuu kama kasuku bila kuelewa ulisemalo. Watu kama wewe ndio mnataka kutupeleka kusipo.
Amandla...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.