Mkuu Ushauri Wa Bure Huyo Hg Mrudishe Kwao, Ilinitokeaga Mwaka Jana, Wife Aliona Dalili Za Hg Kumpiku, Mara Yakaanza Mashindano, Japo Mie Sikuwa Na Lengo Lolote Na Huyo Binti, Baada Ya Kuona Shida Zazidi Nikaamua Kumrudisha Kwao Ili Kuepusha Shali, Hapo Aman Ikarejea Nyumban, Japo Yule Hg...
Achana na huo upuuzi wa sijui kubariki ndoa! Hauna chochote zaidi ya kupoteza pesa ati na kutafuta ufahali, we mwambie aachane na tabia hiyo, asipoelewa piga chini weka mwingine.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.