Nenda katoe maoni kwenye Katiba Mpya. We unadhani wao wawe wapangaji tu hadi lini? Mimi sio mfanyakazi wa ardhi lakini ebu angalia twiga anauzwa mzimamzima (sijui aliingiaje kwenye ndege), madini yanasafirishwa ndani ya mchanga, fedha zinaibwa na zimefichwa nje halafu wanasema 'mwenyewe'...
Sasa nimeamini Viongozi wetu hawajui maisha yetu sisi wananchi. Dr. Mwakyembe anasema watu wasikojoe njiani wakati wa safari kwamba wanadhalilishwa. Hivi ashawahi kubanwa na mkojo akiwa kwenye haya mabasi yetu (hayana vyoo) halafu eti asubiri hadi basi likasimame mahali kwenye choo (sijui...
Hata Kamati Kuu ya CCM imeshatoa 'go - ahead'. So afanye fasta. Ila sasa watakaowekwa kwenye hizo nafasi wasije wakawa ni manyang'au kuliko waliokuwepo!!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.