chapombe mmoja alianguka karibu na TBL na kuzimia papo hapo,mara watu wakajaa na kuanza kujadili namna ya kumsaidia,jamaa mmoja akaagiza maji yaletwe amwagiwe ili fahamu zmrudie!gafla chapombe akanyanyua shingo akasema ''acheni use#*n kama ningekuwa nataka maji si ningeenda kuzimia dawasa''
kuna jamaa anapiga kaz kwa moyo wote na kujima tena katikati ya msitu ila kuna bwana mwingne anazuga tuu yaani hata kukanyaga ardhi ya nchi yake anaona noma.kakoleo chenye hakana hata mchanga wakutosha
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.