Kilimo Kwanza: Kuna utafiti umefanywa na Wizara ya Kilimo na mashirika mengine kuhusiana na matumizi ya greenhouse Dar. Majibu ni kwamba hazifai, labda ziwe special sana. Unaweza kuvuna kidogo ukilima wakati wa baridi kama huu, lakini nyakati nyingine zote za mwaka hazifai kabisa. Kama wewe ni...
Kilimo Kwanza asante kwa taarifa muhimu. Ni kweli kilimo cha greenhouse kinalipa sana, kwa sababu tija ni kubwa mno! Lakini ni vizuri pia watu waelewe kwamba greenhouse haziwezi kufanya kazi Dar na maeneo mengine ya Pwani kutokana na joto kali na humidity. Greenhouse inakubali kwenye maeneo ya...
Siku nyingine ukiwa unaongea na askari rekodi kwenye sim. Bonge la ushahidi! Au ukiweza rekodi video. Ila kumbuka alichofanyiwa Jerry Muro. Wana mtandao hao.
Kumbukeni sekta ya bia ni miongoni mwa wachangiaji wakuu kwenye makusanyo ya Serikali. La muhimu ni kujiheshimu na kuweka mbele utu na familia. Pia wanaoenda night clubs wengi ni vijana wasio na familia. Katika sehem nyingi, ukienda mtu mzima unajiona "out of place". Hivyo sioni kuwa night clubs...
Watu wa Morogoro (waluguru) ni shida sana. Wanauza jimbo kwa kanga, t-shirts, misaada ya misiba na kupewa pesa za futari. Hood na Abood ni maarufu kwa sababu ya kutoa mabasi kwenye misiba (sina hakika kama Hood bado anaendelea). Hawaangalii mbali, ni kile wanachopewa mkononi. Meya aliyepita...
Njaa hizi.... Nilitegemea kama actor angetumia ubongo kufikiria ni jinsi gani ya kukuza biashara ya muvi badala ya kukimbilia na kupoteza muda kwenye siasa. CCM "kutoka" ni ngumu sana kama huna mtaji (pesa au kujuana), labda uishie udiwani. Hawa wa viti maalum walifanikiwa sababu wana "mitaji ya...
Nilikuwa nakaa jirani na wazazi wake Gebo kule Moro. Wakati ule nipo shule ya msingi, Gebo na Ema na Peter (Tino) walikuwa wakija once in a while nyumbani kwao; nilikuwa nahakikisha kuwa nawaona. Hao watatu walikuwa maarufu sana pale kijijini na Moro kwa ujumla. Enzi zile ilikuwa safi sana kuona...
Kuna kanuni na sheria zinazoongoza ajira katika balozi na ofisi za kimataifa hapa duniani. Nenda balozi zote duniani, ni vigumu kukuta receptionist ambaye ni raia wa nchi husika.
Nenda UN & embassy offices zilizopo apa Tz, si rahisi kuona receptionist ambaye ni foreigner. Ila zile posts za...
Hivi hawa wanasiasa wamelaaniwa jamani? Waziri mzima anatoa mipasho. Phd holder -- no way, labda phd ya trash. Wana shida gani hawa? Hawajifunzi kwa nchi nyingine? Na pia hawajali kuwa watoto zao wanawatazama na kuwasikia wakati wanaongea haya mapumba?? Wananchi tuna needs nyingi sana ambazo...
Wanasiasa mnawafanya Watanzania wapumbavu. Sioni tofauti yenu na mashangingi ya Buguruni, Mwananyamala na Magomeni. Kupeana mipasho kutwa kucha. Anzisheni bendi ya taarabu basi. Na wewe Nape, tutakuvalisha kanga kiunoni tujue moja kuwa ni miongoni mwa hao "mashangingi", maana nakuona umebobea...
Hizo status za dr au prof au mhe. ni sisi Tz na nchi nyingine za afrika ndo tunapenda sana kuzitumia. Zinajenga madaraja yasiyo na maana kwenye kazi. Sehem nyingine watu huitana tu kwa majina. Labda kwenye very special events. Mfano, ni mara chache sana kusikia international media wanatumia izo...
Kama muhudumu aliuliza hivyo basi m--------, na Precision wanapaswa kumchukulia hatua. Nimekaa hiyo siti mara kadhaa, sijawai kuulizwa hivyo. Hawa watu wanajisahau kuwa wanalipwa mishahara kwa nauli zetu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.