Habarini wakuu ni mdogo wangu amechaguliwa kozi hizi
1. BACHELOR OF SCIENCE IN MUNICIPAL AND INDUSTRIALSERVICES ENGINEERING - Ardhi university
2.BD. Water Resources and Irrigation Enginee - water institute
3. BSc. Information Technology-SUA
4. Computer science
Naomba muuongozo wenu ipi kozi...
Wakuu wa jamii forum,
Napenda kudondosha Uzi huu rasmi was kumuhusu ndugu yetu bwana juve2012. Ni siku nyingi sana toka apotee humu JF. Kwa yeyote mwenye taarifa za ndugu yetu bwana juve2012 atufahamjshe mahala alipo maana ni kipindi kirefu sasa kimepita Mimi binafsi nimemiss nondo zake alizo...
Hawa jamaa kitambo sana sijawasikia. Nyimbo yao ya mwisho kuisikia walikuwa wamemshirikisha DJ fetty siku hizi sijui wako wapi na wanafanya nini.
Mwenye nyimbo zao naomba anisaidie jamaa nawakubali sana
Nawasilisha
Habari wakuu.
Nahitaji kufahamishwa ni hatua gani zinatakuwa kufuatwa ili mtu aweze kufanikiwa kufungua kiwanda kidogo. Kwayeyote mwenye ufahamu kuhusu hili anisaidie.
Nahitaji sana msaada wenu wakuu
Nawasilusha
Habari wanajamvi kama kichwa cha habari kinavyoonyesha ningependa kwa yoyote ufahamu wa hili jambo ktk nukta zifuatazo
1. ni kwa vipi pesa ya nchi inaweza kushuka thamani ama kupanda thamani.
2. Ni vitu gani hupekea pesa kushuka thamani
3.Na pindi pale pesa inaposhuka thamani je kuna...
Jesca: Mwalimu mimi nataka
nisome form six kwani hii form 4 halinifai.
Mwalimu: Kwa nini unasema hivo?
Jesca: Nina akili...
Basi mwalimu kamueleza mkuu wa shule.
Mkuu kaitisha interview na jesca. Maswali ni haya....
Mwalimu: Kwenye ndege kuna matofali 157 tukitoa moja tukalidondosha chini...
Nimekuwa nikijiuliza juu ya asili ya mtu mweusi imetokea wapi hasa katika kizazi cha manabii gani ila hadi sasa sijapata jibu halisi. Kwa yeyete mwenye elimu kuhusu hili tusaidiane wakuu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.