ww hujiulizi kwann kwa tanzania hii... hakuna muha yoyote ambaye amefanikwa mjini anataka kurudi kujenga kwao kigoma ... ??? nimekaa kigoma karibia yote kasulu, kibondo , kakonko, kgm mjini kote tabia ni zile nimeishi zaid ya miaka nane watu hawataki maendeleo huko... Huko mtu unaendae kupiga...
Nyie watu mnaongea tu hamuijui kigoma vzuri... mm namuelewa jamaa kwasbb nimeishi kigoma huku hata uwe na million 100 kama sio mwenyeji wa kigoma inaweza kuisha bila ww kujua...!!! Ww mkoa wachanga wameushindwa unafikiri kuna biashara hapo
Mkuu kwa uzoefu wako ipi ni kampuni bora linapokuja swala la android smart tv, samsung, hisensi, tcl nk..? na kuna tofauti gani kati ya andriod tv za kawaida na zenye google tv
Kama amepita kimagushi bac n bahati yake lkn atakutana na mfumo wa TCU akienda kuchukua bachelor... na automatic utamtema akiingiza individual no. ya form 4
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.