Jaman nyie madaktari wa kitanzania muwe na huruma kwa wananchi wa kipato cha chini ambao hawawezi kumudu gharama za hospitali binafsi, inauma sana kuona watanzania wenzetu wanakufa kwa kukosa huduma na ninaunga hoja ya raisi kikwete kama hawataki haki waache kabisa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.