Nilikisikia hivi karibuni kinaitwa Chuo kikuu cha Bagamoyo, makao yake makuu yako Mikocheni (Dar es Salaam). Nataka kufika ofisini kwao, niko Mwenge maeneo ya ITV, nimewauliza madereva wa Pikipiki na Bajaji hawapajui.
Tafadhali naomba ufafanuzi, ni kwa muda gani X na Y chromosome zinakaa kwenye sehemu ya uzazi wa mwanamke baada ya kujamiiana na zikiwa na uwezo wa kurutubisha yai la mwanamke likitoka?. Nawashilisha.
Nina ujauzito haujamaliza hata mwezi, tatizo langu matiti yananiuma sana, je nifanyeje ili kumaliza tatizo hili bila kuathiri ujauzito?. Nimeenda Hospitalini nikaabiwa eti yataacha yeyewe, je ni kweli?
Wadau, naomba mtu yoyote anayejua shule ya binafsi inayoitaji mwl wa Kemia na Biologia kidato cha kwanza mpaka kidato cha sita mkoani Dar-es-salaam anijuze. Niana uzoefu wa miaka mitatu.Unaweza kunitumia ujumbe kupitia namba 0786016115.Nawasilisha.
Baadhi ya sifa za mke mwena ni hizi hapa;
i. Hufumbua kinywachake kwa hekima, Na sheria ya wema katika ulimi wake. Wanawake wengi hawajuikuutumia ulimi vizuri Ukali, maneno ya mikato, matusi, ukaidi n.k. kwao nimambo ya kawaida. Wengi wanatawaliwa na HASIRA na WIVU, akiona mumewe anachekana...
my cv
Age-29yrs
Dini-RC
Kabila-Mhaya
Education-master''s stundent
Contact-0714202810
MLENGWA CV
Age-Below 29 yrs
Dini-Asiwe muislam
Elimu-Kuanzia diploma
Others-Asiwe na mtoto.
Kama utapenda nitumie ujumbe kwenye namba hiyo,nitakutafuta. I am serious!!!!!
Namtafuta binti wa kuoa, nina miaka 29,dini RC,kabila mhaya,elimu kwasasa nasoma masters. Mlengwa,elimu kuanzia diploma,asiwe na mtoto,dini siwe muislamu.Alieye tayari anaweza kuni PM au ani sms kwenye hii no 0714202810.Note mausiano ya jinsia moja kwamgu ni mwiko,i do not need men!!!!!!!!.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.