Search results

  1. J

    Ni jinsi gani naweza kuongeza sperm motility

    Kunywa kahawa kabla ya mechi.
  2. J

    Nahitaji msaada wa kifedha, nimekwama

    Hizo ni changamoto za kawaida katika maisha. Naomba kukuuliza swali, umesema ulisoma bila mkopo, je ada na mahitaji mengine nani alikuwa anakulipia?.Hiyo pesa ya akiba uliipataje?
  3. J

    Dada zetu wa kitanzania watuletea mbegu za kichina nchini

    Na bado, subiri watakao patikana wakati wa ujenzi wa bombs la mafuta kama watapewa
  4. J

    Msaada, anayefahamu hili kwenye CAS

    Profile yangu ina majina ya FIDEL JOSEPH WILLIAM ambayo sio ya kwangu, nifanyeje ili niandike ya kwangu?
  5. J

    Msaada wa kufika ofisi za NECTA

    Ukifika Ubungo standi ya mkoa chukua bodaboda akupeleke mawasiliano(standi ya daladala,nauli isiwe zaidi buku jero. Panda daladala inayokwenda Makumbusho, mwambie konda kuwa unashuka Bamaga, nauli ni mianne tu. Ukishuka Bamaga chukua bodaboda atakupeleka NECTA, nauli ni buku tu.
  6. J

    Shule yazawadiwa Kinyago

    Labda hawajui kinamanisha nini,
  7. J

    Ajira za utumishi: Nimeona makontena matatu ya barua zakuomba kazi utumishi.

    Na tena bado yanaweza kuwa hata kumi maana mwisho wa kuziomba hizo kazi ni tarehe 19/08/2014.
  8. J

    Kazi zipo ila ajira ndo hakuna

    Hata Mbuyu ulianza kama Mchicha.
  9. J

    Jamani huu ni ugonjwa ama ni nini?

    Tafuta demu umgegede effectively walau mara mbili kwa wiki, utapona ugonjwa wako.
  10. J

    Fundisho kwa walimu

    Mkuu hivi serikali inaundwa na akina nani?
  11. J

    serious nataka kujua elimu ya uganda iko vipi high school

    Kwa ubora iko chini ukilinganisha na Tanzania, kama hutaki kusoma Tz basi nenda Kenya.
  12. J

    Naweza kusoma Master of Arts, kama sikuisoma kwenye Bachelor?

    Inategemea ni degree ipi na unataka kusoma chuo ipi, ungefunguka zaidi
  13. J

    Msaada wa kunielekeza ntakavyofika makoa makuu ya chuo kikuu cha Bagamoyo

    Nilikisikia hivi karibuni kinaitwa Chuo kikuu cha Bagamoyo, makao yake makuu yako Mikocheni (Dar es Salaam). Nataka kufika ofisini kwao, niko Mwenge maeneo ya ITV, nimewauliza madereva wa Pikipiki na Bajaji hawapajui.
  14. J

    Kutoka mke mtarajiwa hadi mchepuko

    Kuwa na amani na upendo katika familia ni jambo jema, ukisha vipoteza gharama yake ni kubwa muno, husidhubutu kumkubalia.
  15. J

    Kwa wanafunzi wa udsm, room inapatikana changanyikeni.

    Kijana wa kiume ambaye hajapata sehemu ya kuishi kuna room Changanyikeni(Bondeni), ni karibu, panafaa hata kwa shato pori. Kama unaitaji ni pm.
  16. J

    Life span of X and Y Chromosomes.

    Nashukuru sana, ila nahitaji kujua specific time.
  17. J

    Life span of X and Y Chromosomes.

    Tafadhali naomba ufafanuzi, ni kwa muda gani X na Y chromosome zinakaa kwenye sehemu ya uzazi wa mwanamke baada ya kujamiiana na zikiwa na uwezo wa kurutubisha yai la mwanamke likitoka?. Nawashilisha.
  18. J

    Kujitolea kufundisha sec Biology and Chemistry

    Chemistry Teacher Feza Boys Secondary School,Dar es salaam Date Listed: Aug 7, 2013 Email Address: Click to Email Phone: +255 713 823 879 Area: Dar Es Salaam Application Deadline: Aug 21, 2013 Position Description: AN EXPERIENCED CHEMISTRY TEACHER IS URGENTLY REQUIRED TO TEACH "O"...
Back
Top Bottom