Hao ndio wabaya haswa.
Unakuta ana picha za nusu uchi toka kwa vibinti mpaka inatisha.Akiulizwa "oh haimaanishi chochote, kwanza walituma wenyewe mie sijaomba." Alafu watu wanashangaa inakuwaje mtu atake kumuacha mke kisa kanenepa kipindi cha uzazi.
Mwambie kwamba wewe hupendi na umtake aache hiyo tabia kwasababu ni tishio kwa mahusiano yenu.
Ila sasa umpe na chakufanya (MWAMBIE A'FLIRT NA WEWE INSTEAD).Jitahidi umpe sehemu ya muda wako pale unapoweza, sio kutwa kucha uko busy alafu bado utake asitafute namna za yeye kuendelea kuona bado...
Nna jirani yangu mwenye mtoto wa mwaka mmoja. Ye na mume wake wote wameajiriwa kwahiyo huwa wanamuacha mtoto na dada wa kazi.
Kitu cha kwanza kunotice ni kwamba siku mmoja wao akiwepo nyumbani mtoto halii lii sana.Mpaka kuna wakati hua nadhani labda wametoka kwa ukimya kumbe wapo. Ila wakiwa...
Nahitaji chumba kimoja au hata viwili(chumba na sebule) vya self kwenye mitaa husika hapo juu.
Naomba hata mwenye namba za dalali tu anisaidie maana nna shida kweli.
Freema Agyeman yani nafikiria tu kwamba hawa watu ni wagonjwa (wote wawili). Ingekuwa mwanamke ambae sio ndugu hizi habari zingekuwa rahisi kidogo kumeza, maana sasa hivi hata kumwangalia mwanaume usoni naogopa. Ananitisha.
Haya ni maongezi(kimaandishi/chat) kati ya mtu na nduguye (anavyodai mwanaume). Mwanaume ameoa hata miezi mitatu haijapita ila binti ye hajaolewa. Kama mke wa mhusika naona walakini ila naomba kujua nyie wenzangu mnaonaje. Je ni maongezi ya kawaida kwa wanandugu?! Maana mwanaume utetezi wake ni...
Naombeni ushauri maana kwakweli nashindwa kujishauri kama nisuke au ninyoe.
Miezi michache iliyopita(haifiki mitano) nilikutana na kaka mmoja sehemu yake ya kazi nikiwa napata huduma pale. Kutokana na kazi yake aligundua kwamba kuna kitu ningehitahi soon toka kwenye ofisi anazofanyia yeye...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.