Nimepitia vipengele vyenye red katika katiba nimeona viko sahihi kabisa. LAKINI KIPENGELE CHA 9 KATIKA IBARA HIYO YA 109 INASEMA HIVI"(9) Iwapo Rais atatosheka kwamba ijapokuwa mtu mwenye
sifa mojawapo ya hizo sifa maalum hakuwa nayo sifa hiyo kwa
muda usiopungua miaka mitano, lakini mtu huyo...
Wadau,
Katika maelezo yake kwa kwa wajumbe wa Mkutano Mkuu wa CCM huko Dodoma,Mh. John Chiligati alielekeza mlango utakaotumika na wajumbe kwenda msikitini kwa ajili ya ibada lakini sikusikia maelekezo yanayowahusu wanaohitaji huduma ya ibada za kikristo.
NAOMBA NINUKUU " Kwa wale...
[/COLOR]
Nikilinganisha nchi za ukanda wetu hatutaona tofauti kubwa katika kuvalue professionals. Nimefanya hivi makusudi kuonesha kuwa kwa wenzetu professionals wanakuwa na value..usilinganishe kwa magnitude ya mshahara
Yawezekana sikujieleza vizuri. Nilipolinganisha sikuwa na maana ya kujumuisha private sector , nililenga public. Nimependa ulivyofafanua - hicho ndicho nilichotaka kusema kuwa mfumo wetu hauangalii kada nyeti katika malipo. [/COLOR]
WADAU WAKATI KILA MTU ANAONGEA KIVYAKE KUHUSU MADAI YA MADAKTARI HEBU TUANGALIE JINSI KAZI ZINAZOLIPA MNO HUKO MAREKANI KUWA NI ZA MADAKTARI WENGINE WANAFUATA. NAFIKIRI HUKU KWETU - TZ MAMBO NI KINYUME. WATU WANAWEZA CHANGIA KWA KULINGANISHA NA UCHUMI NA FINANCIAL RESOURCE LAKINI POINT HAPA NI...
Mtoa mada, hata ukienda Mvumi- hospitali ya Misheni ambayo imespecialize kwenye matibabu ya macho bado utakuta takwimu zinakuonyesha kuwa si wagogo wengi wanaotibiwa hapo - Jiulize ni kwa nini?
Kama wao CCM waliamua kukampeni kwa matusi wana Arumeru wamewajibu kwa matusi makubwa ya kutowapa kura (My take - ulitukana ili upewe kura, lakini hukupewa!!! hayo ni matusi maradufu!!!)
Siasa ni pamoja na kuwafahamu wapiga kura wako. Huyu mama alijua akienda na masuti ya nguvu na mapozi ya kimjini asingepata kitu.
Hongera mama. Lakini kumbuka 2010 si mbali. Sijui utaibuka na fashion gani
HUYU NDIYE MENGI:
Fikiria mtu ambaye aliwahi kufumaniwa Maeneo ya Upanga na mke wake akakimbia
akaruka ukuta akapanda taxi na kutokomea gizani , Halafu wiki inayofuatia
anakuja kusimama katika majukwaa akipiga vita ukimwi , unyanyasaji na maneno
mengine mengi sana anataka huruma ya watu...
Nawapongeza sana PCB kwa kukamata virushwa vidogovidogo ambavyo ninaweza kuviita jamaa wanaganga njaa tu. Kukiri kwa mkuu wa PCB kuwa hawezi kuwachukulia hatua vigogo wanaokula rushwa ni sawa na kusema uwepo wa PCB ni sawa na kutokuwepo. Sasa kwa nini serikali iendelee kulipa watu mishahara kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.