Baada ya serikali kushindwa kutekeleza wajibu wake kwa wananchi kumetolewa tamko ya kwamba shahada ya Maabara haipo tena kwenye zile kozi zitakazo pewa kipaumbele kwa wanafunzi hao katika suala zima la mikopo!!!!! wadau tutafika?????????????????
Baada ya kichapo ipatacho toka kwa chama makini cha CDM ile serikali iliyopo pale isipo stahili kuwepo inaendelea kufuga ugonjwa kwa wale wote wahusikao na kujeruhi na kufanya mauaji ya kinyama kama hayo ya jembe la CDM, basi kwa taarifa yao hizo ndizo dalili za kuaga mashindano wananchi hawapo...
nyie tahliso lakini mwafanya kazi yenu vizuri????? cause mkopo saizi uanaanza kuwa hadithi ya bunuasi......... ebu kuweni wamoja msikubali hili jambo likawa implemented............
CHADEMA yafanya mkutano mkubwa jijini Mwanza tar 22/04/12 uliohudhuriwa na mamia ya watu! Mh. Dr.Wilbroad Slaa akiambatana na Mh.Lema walihutubia wananchi kwa umahili na umakini mkubwa pia kwa kupokea wanachama wapya walio achia Udiwani katika kata mbalimbali ikiwemo ya Sengerema
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.