udini, ukabila ndo mkinachoendelea hapa, mbona hatujayaona haya kipindi cha mkatoliki , mmachinga benjamin william mkapa, mlifyata mikia , sasa kaingia mwislam tena mwisla poa kelele nyingi , fanyeni subira kidogo mkatoliki mwingine aja
umesema kweli unapooongelea mabaya ya mtu usikwepe kuongea na mazuri yake. ye si malaika ni binadamu ana madhaifu kama wanadamu wengine. tungetaka kuhukumu jinsi baadhi ya wafurukutwa wanavyyotaka rais awamu ya tatu asingetoboza kwani kauza nchi. ila kwa nini KIKWETE?
Tunachoongelea na kuangalia ni utendaji wa kazi sio sura , weye wamtaka sura ili nini? NA pia pale sio mahala pa maonyesho vinginevyo labda weye una madhaifu mengine ambayo sisi hayatuhusu na si mahala pake hapa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.