Salamu wakuu.
Nimepata wasiwasi baada ya kubonyeza kichwa cha uume nakuhisi kuna kama uvimbe kwenye mrija Wa uume. Msaada wenu na ushauri Tafadhali,ila sijapata maumivu yoyote
Salaaam wana Jf
Nimepata wazo la kufuga nguruwe , naomba wenye uzoefu na hii kitu anisidie ushauri. Namna gani ya kufuga ili kupata faida .
Nb: eneo ninalo la kutosha
Wana bodi salaam,
Naombeni ushaur wenu hapa. Mtoto wang mdogo mwenye umri wa miezi 10 amekuwa na tabia ya kulia sana sana,asipo muona mama yake tuu ni kilio. Nilidhani pengine ana umwa nikampeleka hospitali kumpima malaria lakini imeonekana hana. Tabia hii ya kulia lia imeamza siku za karibuni...
Tafadhali wadau naombeni msaada wenu wa haraka. Nimenunua smart kitochi 4G ofisi z tigo ila baada ya kuweka line imeniambia niingize NCK CODE kwenye SIM 1na SIM 2, nauliza code hizo ni zipi?
salaaaam
ninataka kununua godoro kwa ajili ya kitanda cha sita kwa sita. tafadhali naomba ushauri wenu ni godoro la kampuni gani ni bora?
kwa sasa natumia Tanfoam ila naona kama silielewi elewi hivi kwa maana kwamba ukikalia linakuwa kama chapati then linarud kwenye hali yake baada ya muda...
naomba ushauri wana jf, katika familia yangu tumejaaliwa kupata mtoto wiki tatu zilizopita. ila mtoto tumbo linajaa gesi na mtoto anasumbua sana usiku wote. naomba ushauri wenu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.