Habarizenu wanajamii,,,
mm naomba mnifahamishe hiyo RIM ni nini? Mana mm ninayo Blackberry 8520 haiwaki inaonesha screen nyeupo na kuload file hadi inaisha chaji,
ningeomba msaada, blackberry desktop manager ninayo, nikiikonect haioneshi kama imekua konected, nisaidieni,,
Nilikua naonba msaada nifanye ufundi gani simu yangu iwake?
aina Blackberry curve 8520 nilikua naingiziwa app na kwa kutumia comp na cm km yangu kwa kuhamishia ma file, mara nikadisconnect bila kumaliza,
hadi leo haijawaka ina lode files bila kuwaka yote, nifanye nn?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.