Watu wakikosa influence kwa jamii hujitwika title yoyote ile mradi wapate nafasi ya kulamba miguu ya mabwana zao.
Kama nyie ndio mngekua wasomi wa Tanzania kwa na hoja hizo?? nchi ingekua na hali mbaya mara mia ya hapa.
Simwamini wala simkubali Mwigulu hata kidogo lakin Kama kweli hicho kimemo aliandika Mwigulu kwenda kwa Nassari..Nassari kaka umechemka kukiweka hadharan iwe kwa kukusudia au kwa uzembe wako hakikupaswa kuja hadharani.
Wewe ni kiongozi kuna mawasiliano na viongozi wenzako hayapaswi kuja...
Huu utafiti ungefanyika 2006/2007 Kikwete angeweza kushika moja ya nafasi za juu kabisa. Hivyo bado sijampa credits Kenyata coz hawa wanaofanya kazi kisanii sanii, kama kugawa laptop kwa wanafunzi ambao hata milo mitatu ni shida, intime uchapaji kazi wao wa kweli utakua revealed...kama Jakaya
Kimsingi Diallo anathibitisha kauli ya JJenerali kua juna watu wanakubakiana na mkuu na mambo yake ili wapate mradi lakin mioyoni mwao mambo hayo yanawaudhi. Jamaa anakubali kua uongozi uliopo wa chama chake haufai ndio mana umeharibu hata idara ya usalama na kuacha wahalifu sugu kushika nyazfa...
Hawa watu wameamua kuungana na kufanya upinzani kwa pamoja. Faida zake ni kama hii unayoeleza hapa.. pale ambapo CDM wanapungua vyama vingine vinajaza na hivyo hivyo kwa CUF na NCCR.
sioni busara kuanza kutoa credits kwa mtu mmoja au chama chake..naamini hayo ni mawazo/budget ya UKAWA hivyo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.