Aliomba laptop ili alipie kwa mtandao. Inawezekana tatizo ni hatukujipanga kupokea pesa kimtandao. Serikali haina utaratibu huo. Sasa Hutu pesa zake ziko nje. Ilitegemewa anunue kwa akaunti zetu za madafu.
Mimi nafikiri apelekwe mahakamani, kuna kitu kikubwa tutajifunza, na kitabadili mifumo...
Ni sehemu za makazi mapya za kuanzia 2005 ndio zina shida sana za maji. Kinachotakiwa ni Serikali kunakogawiwa viwanja na watu wanajenga waweke huduma za jamii kama maji na umeme, bora hats hospitalit ziwe mbali maana kuugua kwa mwaka sio kila siku. Maji ni kila dakika yanahitajika kwa kila kaya.
Taja maeneo yenye shida ya maji.
Morogoro kuna maeneo maji mengi mpaka bustani wanamwagia. Kuna maeneo maji bure kabisa, na maeneo mengine maji ndoo tsh 400-500 ndani ya manispaa.
Ushauri wangu ni kuwa vyama vya upinzani miaka ijayo wakitumia hili suala LA maji na umeme manispaa watakuja...
Morogoro Mtaa was Mlimani kata ya mkundi, maji watu wananunua ndoo tsh 400 had 500/= umeme hakuna Barbara hazijachongwa, nk viwanja vimepimwa nyumba ziko nyingi, wananchi wengi. Tabu ya maji utafikiri Jangwani. Diwani hakai ktk kata take ndiyo tatizo. Mbunge hajawahi tembelea mtaa huu.
Namtetea hizo pesa hazikuchangwa cash. Zilikatwa. Hivyo ukusanyaji wake na transfer kuchukua muda huo ni sawa. Tens wamejitahidi. Isitoshe zilikuwa zinatumwa nje ya nchi. Process ya kutuma nje ya nchi inachukua muda
Rais akivunja bunge, Yeye anabaki kuwa Rais.. Wabunge posho zinasimama. Nchi inaweza ikawa bila wabunge, lakini haiwezi kuwa bila rais hats siku moja
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.